-
Iran yaitaka ICRC kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za binadamu katika vita vya siku 40
Apr 30, 2026 08:12Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS), katika kikao na Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC), ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa kuiunga mkono Jumuiya ya Hilali Nyekundu na wananchi wa Iran katika kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za kibinadamu uliofanyika katika vita vya siku 40 vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.
-
Uharamia wa Marekani utakabiliwa na majibu makali Iran ambayo hayajawahi kuonekana
Apr 30, 2026 08:06Uharamia na ujangili wa baharini unaoendelezwa na Marekani utapata majibu ya Iran ambayo yatakuwa ya 'kivitendo na ya kipekee.
-
Wizara ya Ulinzi ya Iran: Marekani haiwezi tena kulazimisha sera zake kwa mataifa huru
Apr 29, 2026 09:02Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema kuwa Marekani haina tena uwezo wa kulazimisha sera zake kwa mataifa huru, akiongeza kuwa hali hiyo sasa imejidhihirisha wazi duniani kupitia ustahimilivu wa wananchi wa Iran pamoja na vikosi vyake vya ulinzi.
-
Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa
Apr 28, 2026 09:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Mali.
-
Iran yachaguliwa kuwa miongoni mwa makamu wenyeviti wa mkutano wa wa NPT, kipigo cha kidiplomasia kwa Marekani
Apr 28, 2026 09:31Iran imechaguliwa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa mmoja wa makamu wenyeviti wa mkutano wa mwaka huu wa kupitia upya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) utakaoendelea kwa kipindi cha wiki nne.
-
Duru za Magharibi: Iran imeanza "uhandisi kinyume wa bunker-buster" na silaha za kisasa za Marekani
Apr 27, 2026 12:54Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini (IRGC) limetangaza kuwa limegundua makombora 15 ya Marekani ambayo hayakulipuka katika jimbo la Hormozgan kusini mwa Iran, na maelfu ya mabomu katika jimbo la kaskazini la Zanjan, chini ya mwezi mmoja baada ya uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusitishwa.
-
Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran
Apr 27, 2026 12:49Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameishukuru serikali na taifa la Afrika Kusini kwa kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake Qatar na Saudia kuhusu utulivu wa kieneo
Apr 27, 2026 09:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti siku ya Jumapili na mawaziri wenzake wa Qatar na Saudi Arabia, ikiwa ni sehemu ya juhudi pana za kidiplomasia za kukomesha mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya
Apr 27, 2026 09:30Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema kuwa Lango-Bahari la Hormuz liko wazi kwa Kenya pamoja na mataifa mengine rafiki.
-
Jeshi la Iran laonya litatoa jibu kali iwapo mzingiro haramu wa baharini wa Marekani utaendelea
Apr 26, 2026 11:27Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeonya kuwa kuendelea kwa “uharamia, mzingiro, na uhalifu wa baharini” unaofanywa na vikosi vya Marekani katika eneo, utakabiliwa na jibu kutoka kwa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.