-
Rais Pezeshkian: Iran iko tayari kwa mazungumzo lakini itampondaponda adui iwapo itashambuliwa
Jan 16, 2025 07:38Matamshi ya Rais Masoud Pezeshkian katika mahojiano yake na televisheni ya NBC News ya Marekani yameendelea kuakisiwa katika vyombo vya habari vya ndani, kikanda na kimataifa.
-
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu aelekea Addis Ababa, katika ziara ya kuimarisha uhusiano
Jan 16, 2025 06:25Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Mohammad Baqer Qalibaf, ameondoka mjini Tehran leo asubuhi akielekea Addis Ababa, kwa shabaha ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili.
-
Hamas: Tunaishukuru Iran kwa operesheni zake mbili za "Ahadi ya Kweli" dhidi ya Israel
Jan 16, 2025 04:03Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Hamas amesema katika hotuba yake baada ya kufikiwa makubaliano ya usitishaji vita huko Ghaza kuwa, HAMAS inaishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuitia adabu Israel katika operesheni mbili za Ahadi ya Kweli ambazo zilisambaratisha majigambo ya utawala wa Kizayuni.
-
Russia yasisitiza umuhimu wa Mkataba wa Ushirikiano wa Kina wa Kistratejia na Iran
Jan 16, 2025 00:58Dmitry Peskov, msemaji wa Ikulu ya Kremlin (makao makuu ya urais wa Russia), Jumanne alisema kuwa Russia inatilia umuhimu mkubwa kusainiwa mkataba wa ushirikiano wa kina wa kistratejia na Iran, akibainisha kuwa hatua hiyo ni sehemu muhimu sana ya safari ya Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo.
-
Wanafunzi wa vyuo vikuu zaidi ya 40 vya Kenya washiriki katika mashindano ya Iranolojia
Jan 15, 2025 23:08Katika jitihada za kupanua uhusiano wa kiutamaduni, kisayansi na kielimu kati ya Iran na Kenya, mashindano ya "Iranolojia" yamefanyika nchini Kenya kwa ushirikiano na vyuo vikuu zaidi ya 40.
-
Araghchi: Kwa kujiamini kuwa mpango wake wa nyuklia ni wa amani, Iran haijawahi katu kujiondoa kwenye mazungumzo
Jan 15, 2025 08:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haijawahi kuwa mshiriki wa kujiondoa kwenye meza ya mazungumzo kutokana na kujiamini kwamba mpango wake wa nishati ya nyuklia una malengo kamili ya amani.
-
Pezeshkian: Iran inaunga mkono amani na kuondolewa mivutano katika eneo na duniani
Jan 15, 2025 04:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mahojiano na televisheni ya NBC ya Marekani kwamba Iran inataka amani na kuondolewa mivutano katika kanda hii na duniani kwa ujumla.
-
Iran na nchi tatu za Ulaya zakubaliana kuanzisha mazungumzo ya kuondoa vikwazo
Jan 14, 2025 05:48Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusiaka na Masuala ya Kisheria ametangaza habari ya kufikiwa makubaliano bainaya Iran na nchi tatu za Ulaya kwa ajili ya kuanzisha mazungumzo ya kuondoa vikwazo.
-
Iran leo inaadhimisha kuzaliwa Imam Ali (as) na Siku ya Baba
Jan 14, 2025 04:18Iran, leo tarehe 13 mwezi Rajab, inaadhimisha Siku ya Baba katika sherehe zinazofungamanishwa na kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Amirul Muuminina, Imam Ali bin Abi Twalib (as).
-
Baqaei: Utawala wa Kizayuni hauna mipaka katika tamaa zake
Jan 13, 2025 23:47Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unaotenda jinai za kutisha huko Gaza hauna mpaka wala mwisho katika taamaa zake za kujitanua.