-
Sisitizo la Iran la ulazima wa kukomeshwa uchocheaji vita wa Marekani na washirika wake katika eneo na Yemen
Jan 13, 2025 22:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Mshauri Mkuu wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamesisitiza ulazima wa kusitishwa uchochezi wa vita wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo na nchini Yemen.
-
Meja Jenerali Mousavi: Maneva yanayoendelea yanaonyesha utayarifu wa jeshi la Iran
Jan 13, 2025 08:10Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran amesema kuwa, maneva ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Iran yadhihirisha kuwa tayari vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Tuna silaha ambazo adui kamwe hawezi kuzitasawari
Jan 13, 2025 03:13Kamanda mmoja wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ina silaha ambazo hazijafichuliwa hadi sasa na wala adui hana taarifa zozote kuhusu silaha hizo.
-
Iran kufanya mazungumzo ya kufufua mapatano ya nyuklia na Troika ya Ulaya kesho
Jan 12, 2025 09:27Mji wa Geneva Uswisi kesho Jumatatu unatarajiwa mwenyeji wa mazungumzo ya nyuklia ya Iran na mataifa matatu ya Ulaya ya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani.
-
Baqaei: Iran inataka kuimarisha uhusiano na Venezuela
Jan 12, 2025 04:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemtakia mafanikio Rais Nicolas Maduro wa Venezuela na kusisitiza kuwa Iran ina hamu ya kushirikiana na serikali iliyochaguliwa na wananchi ya Venezuela kwa manufaa ya mataifa mawili ili kuimarisha uhusiano mkubwa kati ya pande mbili.
-
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran laanza maneva ya ulinzi wa anga ya 1403
Jan 12, 2025 04:31Maneva ya ulinzi wa anga ya 1403 la Jeshi la Iran yameanza leo asubuhi katika maeneo ya ulinzi wa anga ya magharibi na kaskazini mwa Iran.
-
Iran: Muqawama nchini Lebanon si kitu kinachoweza kufutwa
Jan 11, 2025 23:33Balozi wa Iran nchini Lebanon amesema kuwa, Wawakilishi wa Hizbullah na harakati ya Amal walifanya mazungumzo na Joseph Aoun katika ule muda wa baina ya vikao viwili vya upigaji kura katika bunge na kupewa dhamana ya kutoguswa masuala hayo. Kwa kuzingatia hayo tunasema kwa kinywa kipana kwamba Muqawama hauwezi kamwe kufutwa nchini Lebanon.
-
CIA yakiri kwamba mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Jan 11, 2025 23:33Mkuu wa shirika la kijasusi la Marekani (CIA) amekiri kwamba mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kiraia na hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa mradi huo umeelekea upande wa kijeshi.
-
Araghchi: Tutashirikiana na serikali mpya ya Lebanon
Jan 11, 2025 07:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wananchi wa Lebanon kwa kupata rais mpya na kusema: Tutashirikiana na serikali yoyote itakayowakilisha matakwa ya wananchi wa Lebanon.
-
Mkuu wa IRGC: Iran itazindua miji ya kisasa ya makombora na drone
Jan 11, 2025 03:10Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) anasema hivi karibuni Iran itazindua "miji mipya ya makombora na ndege zisizo na rubani (UAV) iliyoko chini ya ardhi."