-
Iran yatoa wito wa kufanyika juhudi zaidi za kurejesha amani Gaza, Lebanon
Nov 05, 2024 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuleta amani huko Gaza na Lebanon.
-
Upeo angavu katika uhusiano wa Iran na Pakistan
Nov 05, 2024 04:20Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jioni ya jana Jumatatu aliwasili Islamabad, mji mkuu wa Pakistan kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo na kushauriana nao kuhusu uhusiano wa pande mbili na matukio ya kieneo.
-
Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela
Nov 05, 2024 03:45Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Venezuela, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran amekutana na kuzungumza na Rais wa Venezuela.
-
Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel
Nov 04, 2024 23:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema bila ya shaka utawala wa Kizayuni wa Israel utapokea jibu kali kutokana na uchokozi wake wa hivi karibuni dhidi Iran.
-
Jeshi la Wanamaji la Iran linafuatilia kwa karibu meli za kivita za Marekani
Nov 04, 2024 23:15Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu yaIran amepongeza ufuatiliaji wa kina wa kikosi hicho juu ya meli za kivita za Marekani zinazosafiri katika maji ya eneo.
-
Magaidi wakamatwa kusini mashariki mwa Iran
Nov 04, 2024 23:14Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametangaza kukamatwa asilimia 80 ya magaidi walioko kusini mashariki mwa Iran.
-
Rais Pezeshkiani: Leo hii tunakabiliwa na vita kamili vya kiuchumi
Nov 04, 2024 09:13Akizungumzia kukabiliwa na vita kamili vya kiuchumi, Rais Daktari Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: 'Maadui wanajaribu kututia mtegoni kupitia matatizo ya kiuchumi, lakini kamwe hawatafanikiwa.'
-
Mazungumzo ya Waziri wa Mawasiliano wa Iran na Naibu Waziri Mkuu wa Cuba
Nov 04, 2024 08:13Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Cuba, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa nchi hii katika masuala ya sayansi na teknolojia na kuzungumzia nyanja za maendeleo ya ushirikiano wa kisayansi, kiteknolojia na mawasiliano.
-
Kamanda Fadavi: Vita vya Ghaza vimefedehesha uongo wa miaka 76 wa mabeberu
Nov 03, 2024 23:11Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, Marekani ndiye kiranja wa kambi ya batili na kwamba, moja ya sifa za kipekee za vita vya Ghaza ni kuwa walimwengu wamezinduka na wameweza kuelewa kwamba wamekuwa wakidanganywa na mabeberu kwa muda wa miaka 76 kuhusu Palestina na utawala wa Kizayuni.
-
Iran ni miongoni mwa nchi zinazoongoza duniani katika teknolojia ya nyuklia
Nov 03, 2024 22:53Kutokana na juhudi za wanasayansi na wataalamu wake vijana, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, hivi sasa ni miongoni mwa nchi zinazoongoza duniani kwa teknolojia ya nyuklia.