-
Kiongozi Muadhamu akutana na familia za mashahidi wa uovu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran
Nov 03, 2024 09:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo amekutana na familia za mashahidi wa Jeshi la Ulinzi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliouawa shahidi katika uovu wa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni.
-
Baqaei: Mashinikizo haramu ya Marekani dhidi ya watu wa Iran yameendelea hadi leo
Nov 03, 2024 09:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani sera na mienendo ya kindumakuwili ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Salami: Muqawama utatoa jibu kali dhidi ya kambi ovu
Nov 03, 2024 08:32Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya vikali Marekani na Israel kwamba, uvamizi na kitendo chochote cha kichokozi kitakabiliwa na jibu zito la 'kuvunja meno' la makundi ya Muqawama ya eneo la Asia Magharibi.
-
Kiongozi Muadhamu atoa ufafanuzi kuhusu ulazima wa kuendeleza mapambano ya taifa la Iran dhidi ya Marekani
Nov 03, 2024 07:52Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduuzi ya Kiislamu, Jumamosi ya jana alihutubia kikao cha maelfu ya wanafunzi na wasomi wa vyuo vikuu akieleza sababu za kimsingi za mapambano ya takriban miaka 70 ya taifa la Iran dhidi ya dhulma na sera za kupenda makuu na kujitanua za Marekani.
-
Wairani waadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari
Nov 03, 2024 03:58Sherehe za kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari wa Dunia ambayo huadhimishwa tarehe 13 Aban (Novemba 3 au 4) kila mwaka hapa Iran, zinaendelea mjini Tehran na katika miji mingine kote Iran.
-
Jumuiya ya Shanghai yalaani shambulio la Israel dhidi ya Iran
Nov 02, 2024 23:03Wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai wametoa taarifa na kulaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya vituo vya kijeshi vya Iran.
-
Imam Khamenei: Marekani na Israel bila shaka, zitapokea 'jibu la kuvunja meno'
Nov 02, 2024 07:49Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo ameeleza sababu za msingi za mapambano ya taifa la Iran yanayoendelea kwa takriban miaka 70 dhidi ya dhulma na sera za kupenda kujitanua za Marekani, na kusisitiza kuwa: Katika njia hiyo ya ushindi, utawala wa Kizayuni na Marekani watapewa jibu kali kwa hatua yoyote dhidi ya taifa la Iran.
-
Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran
Nov 02, 2024 07:45Rais Joe Biden wa Marekani jana Ijumaa aliwatumia barua wakuu wa bunge la wawakilishi na seneti ambapo amerefusha kwa mwaka mmoja mwingine muda wa hali ya hatari kitaifa kuhusu Iran. Biden amechukua hatua hii katika miezi yake ya mwisho akiwa White House na kabla ya kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani tarehe 5 mwezi huu wa Novemba.
-
Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake
Nov 02, 2024 04:11Kamal Kharrazi, Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Nje la Iran amesema, kuna muelekeo wa Jamhuri ya Kiislamu kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake, akionya kuwa Tehran inaweza kubadilisha mwongozo wake wa kijeshi iwapo itakabiliwa na kitisho cha kuhatarisha uwepo wake.
-
Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria
Nov 01, 2024 23:30Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha uhusiano na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyuga mbali mbali.