-
Qalibaf azionya nchi jirani kutoijaribu Iran kuhusu visiwa vitatu vya Ghuba ya Uajemi
Dec 07, 2025 11:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amepuuzilia mbali madai ya kukaririwa kuhusu visiwa vitatu vya Iran katika taarifa ya mwisho ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC), akiyaonya mataifa jirani kutoijaribu azma ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulinda mamlaka yake ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya nchi hii.
-
Spika Qalibaf: Marekani ina chuki ya kihistoria na mwanachuo wa Kiirani
Dec 07, 2025 06:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa: Mfumo wa kibeberu kinara wake akiwa Marekani una chuki na uadui wa kihistoria dhidi ya mwanachuo wa Kiirani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hivi sasa mpira uko upande wa Marekani
Dec 07, 2025 06:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Ira amesema iwapo Marekani itabadili mkondo wake, Iran nayo itakuwa tayari kupata matokeo ya haki na usawa.
-
Iran, Misri zaafiki kuendeleza mazungumzo ya kupanua uhusiano
Dec 07, 2025 03:41Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri wameafiki juu ya kuweko mazungumzo ya kupanua uhusiano wa mataifa yao.
-
India, Russia zasisitiza utatuzi wa mpango wa nyuklia wa Iran kupitia mazungumzo
Dec 06, 2025 07:54Baada ya Rais wa Russia Vladimir Putin na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi kukutana mjini New Delhi, nchi hizo mbili zimesisitiza umuhimu wa kutatua masuala yanayohusiana na mpango wa nyuklia wa Iran kwa njia ya mazungumzo.
-
Je, hatua ya Iran na Uturuki kuelekea ustawi wa eneo inaashiria kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano?
Dec 05, 2025 11:48Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimeazimia kwa dhati kuchukua hatua kuelekea maendeleo na ustawi wa kikanda.
-
Ayatullah Khatami: Iran haijawahi kuwa na wasomi wengi wanawake kama ilivyo hii leo
Dec 05, 2025 11:33Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amechambua hotuba iliyotolewa siku chache zilizopita na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei katika hadhara ya wanawake, akielezea mtazamo wa Uislamu kuhusu wanawake, na kusisitiza kwamba Iran haijawahi kuwa na wanawake wengi wasomi na wenye maono kama ilivyo sasa, na jambo hili linaonyesha jinsi utawala wa Kiislamu hapa nchini unavyowathamini wanawake."
-
IRGC yaanza maneva makubwa la kijeshi Ghuba ya Uajemi kwa kutoa onyo kwa meli za Marekani
Dec 05, 2025 10:51Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeanza mazoezi makubwa katika Ghuba ya Uajemi, kikionyesha uwezo wa hali ya juu wa kujilinda na kushambulia ulioimarishwa kwa akili mnemba.
-
Kamanda: Mazoezi ya kijeshi ya Sahand 2025 yamemalizika kwa mafanikio katika sinario zote
Dec 05, 2025 07:52Kamanda wa manuva ya kupambana na ugaidi ya "Sahand 2025" ameuelezea ujumbe wa mazoezi hayo ya kijeshi kuwa ni juhudi za pande zote za kupambana na ugaidi, akisema: "Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na vya nchi zilizoshiriki vimefanikiwa kutekeleza sinario zote za manuva hayo".
-
Spika wa Bunge: Iran iko wazi kwa diplomasia lakini usalama wa taifa na nguvu ya ulinzi haviwezi kujadiliwa
Dec 05, 2025 02:58Spika wa Bunge la Iran, Mohammad-Baqer Qalibaf amesema ingawa Iran iko wazi kwa diplomasia, lakini haitalegeza kamba katika suala la usalama wa taifa na nguvu zake za ulinzi.