-
Majibu ya Qalibaf kwa madai ya uongo ya Trump: Watu wa Iran wanataka wavamizi waadhibiwe kikamilifu
Mar 24, 2026 05:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amejibu madai ya uongo ya rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kuwepo kwa mazungumzo na Iran.
-
Msemaji wa Kamandi Kuu ya Jeshi: Vita na Iran si filamu ya Hollywood
Mar 23, 2026 07:11Msemaji wa Kamandi Kuu ya Jeshi Iran ya Khatamul Anbiyaa (SAW) amesema kuiambia Marekani na Israel kwamba: Munafanya makosa kufananisha vita vyenu na taifa lenye ghera na jeshi imara la Iran na filamu za Hollywood na mashujaa za kidhahania na wa kubuni akilini, na mumeanzisha uchokozi kutokana na makosa ya kimahesabu.
-
Qalibaf azitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani
Mar 23, 2026 07:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani.
-
Iran: Dunia imechoshwa na hadithi za uongo za Marekani na Israel
Mar 23, 2026 05:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameashiria msimamo wa Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi-NATO- kuhusu kukataa madai ya hivi karibuni ya maafisa wa utawala wa Kizayuni Israel kuhusu tishio la makombora ya Iran kwa Ulaya na kuandika katika mtandao wa X kuwa dunia imechoka na simulizi za uongo za Marekani na Israel.
-
Taarifa ya Ayatullah Hajj Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, Kuhusu Hatua Isiyofaa ya Al-Azhar
Mar 23, 2026 04:44Katika kujibu hatua ya hivi karibuni ya viongozi wa Al-Azhar, Chuo Kikuu cha Kidini cha nchini Misri ya kulaani hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kulipiza kisasi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi za nchi za Kiarabu za Ghuba ya Ujemi, viongozi tofauti wa kidini akiwemo Ayatullah Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, wametoa taarifa wakikosoa vikali hatua hiyo ya kibaguzi ya wanazuoni wa Al- Azhar.
-
Mwisho wa makubaliano ya Atlantiki; kwa nini Marekani imetengwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran?
Mar 22, 2026 07:30Duru ya pili ya hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni imekuwa nukta muhimu katika historia ya mikataba na makubaliano ya kijeshi katika ulimwengu wa Magharibi.
-
Jeshi la Iran latungua ndege nyingine ya kivita aina ya F15 ya adui mvamizi, Sepah inaendelea kutoa dozi
Mar 22, 2026 07:14Jeshi la Iran limetangaza kuwa limetungua ndege ya kivita aina ya F15 ya maadui wavamizi, Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, kusini mwa nchi.
-
Kamanda Mousavi: Iran sasa inadhibiti kikamilifu anga ya Israel
Mar 22, 2026 06:14Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza kuwa makombora ya Iran sasa yanadhibiti kikamilifu anga ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Jeshi la Iran limelenga Uwanja wa Ndege wa Ben‑Gurion kwa droni
Mar 22, 2026 05:04Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi hilo limetekeleza shambulio kwa mafanikio dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Ben‑Gurion katika mji wa Lod umbali wa kilomita 15 kusini mashariki mwa Tel Aviv, kwa kutumia droni ya kisasa ya Arash‑2.
-
Iran yatoa onyo kuhusu hujuma dhidi miundombinu ya nishati na mafuta
Mar 22, 2026 05:03Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Iran ya Khatam al-Anbiyaa (SAW) ametoa onyo kali kuhusu uwezekano wa kushambuliwa kijeshi miundombinu ya nishati na mafuta ya Iran.