-
Shamkhani azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kutocheza na “mistari myekundu” ya Iran
Dec 04, 2025 12:21Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika Baraza la Ulinzi la Iran amelionya Baraza la Ushirikiano la Nchi za Ghuba ya Uajemi dhidi ya madai “yasiyo ya kujenga” kuhusu visiwa vitatu vya Iran na visima vya gesi vya Arash.
-
Televisheni ya Kiebrania ya Iran yazua wasiwasi katika vyombo vya habari vya Israel
Dec 04, 2025 12:03Press TV ya Iran imezindua kitengo cha lugha ya Kiebrania jambo ambalo limezua hofu katika duru za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwani hatua hiyo inaonekana kama sehemu ya juhudi za kimkakati za Iran kuathiri maoni ya Waisraeli huku kukiwa na vita vya simulizi vinavyozidi kupamba moto.
-
Kamanda wa IRGC: Usalama wa Ghuba ya Uajemi ni 'mstari mwekundu'
Dec 04, 2025 07:47Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametoa onyo kali kwa Marekani na washirika wake kuhusu Ghuba ya Uajemi na Mlango-Bahari wa Hormoz, akisema usalama wa njia hiyo ya maji ni "mstari mwekundu" wa Iran na misheni kuu ya IRGC.
-
Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO
Dec 04, 2025 03:47Mazoezi maalumu ya kupambana na ugaidi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), "Sahand 2025," yanafanyika katika Kaunti ya Shabestar, Mkoa wa Azerbaijan Mashariki, nchini Iran.
-
Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke
Dec 03, 2025 14:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameashiria mwenendo wa Magharibi wa kukazania kueneza utamaduni wake potofu duniani na kueleza kwamba: "wao wanadai kuwa mipaka maalumu iliyowekwa kwa ajili ya mwanamke, ikiwemo hijabu, vitazuia maendeleo yake,
-
Soko la ujenzi na nyumba Israel limeporomoka baada ya Vita vya Siku 12 na Iran
Dec 03, 2025 06:38Hivi karibuni mamlaka na vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kupata kipigo kikali kutokana na vita vya Ghaza na mashambulizi ya kulipiza kisasi ya makombora ya Iran na kwamba kukiri huko kunaonesha kwamba makombora ya Iran hayakuvuruga tu milingano ya usalama, bali pia yamesambaratisha mshipa wa kiuchumi wa soko la nyumba la Israel.
-
Qalibaf: Manuva ya Sahand 2025 ni ishara ya nguvu ya mataifa huru dhidi ya madola ya kibeberu
Dec 02, 2025 13:26Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya iran amesema kuwa, manuva ya kupambana na ugaidi ya Sahand 2025 ni ishara ya nguvu ya mataifa huru dhidi ya madola ya kibeberu.
-
Rais wa Iraq asisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 02, 2025 13:24Rais wa Iraq amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Araqchi: Mahusiano ya kimataifa yamebadilika na kuwa ya kimabavu kutokana na mienendo ya Marekani
Dec 02, 2025 06:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Baada ya raundi tano za mazungumzo, wakati Iran ilipokuwa ikijiandaa kwa raundi ya sita, Marekani ilikiuka njia ya kidiplomasia na juhudi za upatanishi."
-
Araghchi: Ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo
Dec 02, 2025 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo.