-
Indhari ya balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa kwa Marekani kuhusu vitendo vya kichochezi
Jan 09, 2024 23:12Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha madai ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika kikao cha Baraza la Usalama kuhusu Bahari Nyekundu na kuonya dhidi ya hatua zozote za uchochezi zinazofanywa na Wamarekani.
-
Kiongozi Muadhamu: Ghaza ni mfano wa wazi wa nguvu kubwa za wananchi
Jan 09, 2024 08:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, njama kubwa za maadui ni kuwatoa uwanjani wananchi wa Iran na kwamba Ukanda wa Ghaza hivi sasa ni mfano wa wazi na wa kivitendo wa nguvu kubwa za wananchi.
-
de Volkskrant: Uholanzi ilihusika katika hujuma ya virusi vya Stuxnet ya Marekani, Israel dhidi ya Iran
Jan 09, 2024 04:22Gazeti la de Volkskrant la Uholanzi limeripoti kuwa, raia mmoja wa nchi hiyo alihusika moja kwa moja katika operesheni ya Marekani na Wazayuni ya kuhujumu kituo cha nyuklia cha Natanz nchini Iran.
-
Amir Abdollahian: Wazayuni wanachukia vyombo vya habari
Jan 09, 2024 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sambamba na kuwaenzi mashahidi wa vyombo vya habari waliouawa na Israel katika vita vya Gaza amesema: Wazayuni wanavichukia vyombo vya habari.
-
Raisi: Daesh kama walivyo Wazayuni, linachofuatilia ni kuua wanawake na watoto wasio na hatia
Jan 08, 2024 23:31Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kundi la kigaidi la lililolelewa na Marekani na utawala wa Kizayuni kama walivyyo Wazayuni huko Gaza, lenyewe pia linafuatilia kuua wanawake na watoto wasio na hatia.
-
Kaani: Ugaidi ni hatari iliyoenea kwa serikali na mataifa yote
Jan 08, 2024 08:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa ugaidi ni hatari kubwa kwa serikali na mataifa yote na kwa amani na usalama wa dunia. Nasser Kanani ameeleza haya katika radiamali yake kwa shambulio la kigaidi lililotekelezwa katika maziara ya mashahidi wa mji wa Kerman huko kusini mashariki mwa Iran.
-
Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza
Jan 08, 2024 08:41Katika kuendeleza misimamo inayozusha mizozo ya nchi za Magharibi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amepuuza jinai zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Gaza na kudai kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kukomesha vitendo vyake vinavyovurunga amani na uthabiti wa eneo.
-
Amir-Abdollahian: Hakuna lengo hata moja la utawala wa Kizayuni Gaza lililoweza kufikiwa
Jan 08, 2024 02:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hakuna hata moja kati ya malengo ambayo utawala ghasibu wa Kizayuni unayafuatilia katika Ukanda wa Gaza ambalo limeweza kufikiwa.
-
Kamanda Qaani amhutubu Haniya: Vikosi vya Muqawama vitakuwa jinamizi kwa utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto
Jan 07, 2024 09:19Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, vikosi vya Muqawama vitageuka kuwa jinamizi kwa utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto.
-
Amir Abdollahian: Kuna ulazima wa jamii ya kimataifa kukabiliana ipasavyo na ugaidi
Jan 07, 2024 04:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir Abdollahian, amesitiza ulazima wa kufanyika juhudi kubwa zaidi za jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana ipasavyo na ugaidi.