-
Bunge la Iran: Hatua ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA ni alama ya udhalili na kudunishwa na Marekani
Jan 19, 2020 09:13Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wamesema kuwa hatua ya nchi za Ujerumani, Uingereza na Ufaransa ya kuanzisha mchakato wa kutatua hitilafu ndani ya JCPOA unaofahamika kwa jina la 'Trigger Mechanism' kwa kisingizio kuwa Iran haitekelezi majukumu yake kwenye mapatano hayo ni ishara ya kudhalilishwa nchi hiyo mbele ya Marekani.
-
Iran yasema ikilazimu, itaangalia upya ushirikiano wake na IAEA
Jan 19, 2020 04:34Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezionya nchi za Ulaya kuwa, Tehran italazimika kuangalia upya ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Niashati ya Atomiki (IAEA) iwapo EU itaendelea kuchukua hatua zisizo za kiadilifu juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Tehran yampa Rais wa Ufaransa somo la jiografia kuhusu "Ghuba ya Uajemi"
Jan 19, 2020 04:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa somo la jiografia na kumkosoa kwa kupotosha historia.
-
Mchango mkubwa wa Iran katika kuwasaidia wakimbizi na kupambana na mgogoro wa ukimbizi duniani
Jan 19, 2020 03:10Karibu miaka 40 sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mwenyeji wa kundi kubwa la wakimbizi hasa raia wa Afghanistan na hivi sasa Tehran imesema, iko tayari kuwafaidisha wengine kwa uzoefu wake katika suala hilo.
-
Rais Rouhani: Marekani, chanzo cha shari zote Asia Magharibi
Jan 18, 2020 23:57Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ndiyo chanzo cha vitendo vyote vya shari, migogoro na matatizo katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Timu za Iran zajitoa kwenye mashindano ya soka ya mabingwa wa Asia kulalamikia uamuzi wa kisiasa wa AFC
Jan 18, 2020 10:29Timu za Esteqhlal, Perspolis, Sepahan na Shahre-Khodroo zinazoiwakilisha Iran katika mashindano ya mabingwa wa soka wa Asia katika mwaka huu wa 2020 zimeamua kujitoa kwenye mashindano hayo kulalamikia uamuzi wa kisiasa uliochukuliwa na Shirikisho la Soka la Asia (AFC) wa kuzitaka timu hizo zicheze michezo yao yote katika nchi ngeni ya tatu.
-
Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad
Jan 18, 2020 09:13Katika jitihada zake za kutimiza ahadi ya kulipiza kisasi kikali dhidi ya Marekani kutokana na mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wana jihadi wenzake, Alfajii ya Jumatano tarehe 8 Januari Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilishambulia kambi kubwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq ya Ainul Asad.
-
Hotuba za Kiongozi Muadhamu Katika Sala ya Ijumaa Tehran; ubainishaji wa nguvu na adhama ya Iran
Jan 18, 2020 04:23Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika hotuba zake za Sala ya Ijumaa wiki hii mjini Tehran, alisema: "Kushiriki kimuujiza taifa la Iran katika mazishi ya shahidi mtoharifu Qassem Soleimani na wenzake na pia jibu kali la IRGC lililotolewa kwa kushambulia kituo cha Ainul Assad cha Jeshi la Marekani (nchini Iraq) ni siku mbili ambazo zinaweza kutajwa kuwa Siku za Mwenyezi Mungu (Ayamullah). Siku hizi zimejaa somo na ibra na ni za kuainisha hatima."
-
Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika Swala ya Ijumaa yaakisiwa sana na vyombo vya habari vya kimataifa
Jan 17, 2020 23:28Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa jana mjini Tehran, imeakisiwa sana na vyombo vya habari vya kigeni.
-
Mamilioni ya Wairan wafanya maandamano makubwa ya kuunga mkono uwezo wa kijeshi wa nchi hii
Jan 17, 2020 10:53Mamilioni ya raia wa Iran wamefanya maandamano makubwa katika kuunga mkono uwezo wa kijeshi na umadhubuti wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu katika kusimama imara mbele ya Marekani, maandamano ambayo yamefanyika nchi nzima baada ya Swala ya Ijumaa.