-
"Njia ya kukomesha jinai, ni kwa Wazayuni kutawaliwa na khofu"; maoni ya mitandaoni ya Wairan kuhusu jinai za Israel
Oct 28, 2024 05:39Pars Today-Watumiaji wa mtandao wa kijamii X wametuma jumbe mbalimbali kwenye mitandao ya intaneti kulaani jinai zinazofanywa utawala wa Kizayuni nchini Lebanon. Kufuatia jinai za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni nchini Lebanon, tumeamua kutupia jicho hisia zilizoonyeshwa na mijibizo iliyotolewa na watumiaji wa mtandao wa X dhidi ya unyama na uhayawani wa utawala khabithi wa Kizayuni.
-
Mbunge wa Bunge la Ulaya: Marekani na waitifaki wake wanaendesha vita Ukraine kwa ajili ya viwanda vyao vya kijeshi
Oct 28, 2024 05:26Pars Today: Mbunge wa Ireland katika Bunge la Ulaya amesema kuwa, madola ya Ulaya na Marekani wamelipa uhai mpya shirika la kigaidi liitwalo NATO kupitia vita vya Ukraine.
-
Kukosolewa baadhi ya watetezi wa haki za binadamu kwa kupuuza haki za Wapalestina
Oct 28, 2024 05:10Mwanadiplomasia wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelalamikia kimya cha wanaharakati wa haki za binadamu kuhusu wananchi wa Palestina.
-
Mamia ya watu wajitokeza kwenye maziko ya kamanda wa Muqawama, Mash-had Iran + Picha
Oct 16, 2024 07:59Mamia ya watu wa matabaka mbalimbali Jumanne, Oktoba 15, 2024 walijitokeza kwa wingi katika maziko ya kamanda wa Muqawama, shahidi Abbas Nilforoushan, mshauri wa ngazi za juu wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon ambaye aliuliwa kigaidi na Israel akiwa pamoja na Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya nchi hiyo. Hapa chini tumeweka baadhi ya picha za maziko hayo.
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi baina ya Iran na Oman katika Picha
Oct 10, 2024 12:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zimefanya kwa mara ya kwanza kwa sura ya vikosi vitatu tofauti; mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Kaskazini mwa Bahari ya Hindi na Lango Bahari la Hormoz. Hizi hapa ni baadhi ya picha na video za luteka hiyo ya pamoja ya kijeshi.
-
Sala ya Ijumaa ya Kihistoria ya Tehran
Oct 09, 2024 08:10Umati mkubwa wa watu ulishiriki katika Sala ya Ijumaa ya kihistoria iliyosalishwa na Kiongozi Muadhamu tarehe 4 Oktoba 2024
-
Vituo vya kijeshi vya Marekani Asia Magharibi na Duniani + PICHA
Oct 04, 2024 04:04Takwimu rasmi zinaonesha kuwa Marekani ina zaidi ya vituo 800 vya kijeshi katika zaidi ya nchi 70 duniani ambapo sehemu kubwa ya vituo na wanajeshi wake wapo katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
-
Kujilinda na kujihami katika mtazamo wa Qur'ani
Sep 26, 2024 08:32Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Kujihami Kutakatifu nchini Iran.
-
Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)
Sep 26, 2024 08:31Kipindi cha baina ya tarehe 12 na 17 Mfunguo Sita kimetangazwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni Wiki ya Umoja na Mshikamano baina ya Waislamu wote duniani, lengo likiwa ni kuwakusanya pamoja Waislamu wote wa madhehebu na mitazamo tofauti katika Tauhidi na umoja wa Kiislamu.
-
Ijumaa, tarehe 30 Agosti, 2024
Aug 29, 2024 22:56Leo ni Ijumaa tarehe 25 Safar, mwaka 1446 Hijria, sawa na tarehe 30 Agosti mwaka 2024.