Mamia ya watu wajitokeza kwenye maziko ya kamanda wa Muqawama, Mash-had Iran + Picha
(last modified 2024-10-16T11:29:25+00:00 )
Oct 16, 2024 11:29 UTC
  • Mamia ya watu wajitokeza kwenye maziko ya kamanda wa Muqawama, Mash-had Iran + Picha

Mamia ya watu wa matabaka mbalimbali Jumanne, Oktoba 15, 2024 walijitokeza kwa wingi katika maziko ya kamanda wa Muqawama, shahidi Abbas Nilforoushan, mshauri wa ngazi za juu wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon ambaye aliuliwa kigaidi na Israel akiwa pamoja na Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya nchi hiyo. Hapa chini tumeweka baadhi ya picha za maziko hayo.

Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had
Maziko ya shahidi Abbas Nilforoushan mjini Mash-had

 

Tags