-
Al-Qassam yamwangamiza askari wa Kizayuni baada ya kutofanikiwa kumkamata mateka
Jul 10, 2025 09:40Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS limetangaza kuwa limelazimika kumuangamiza mwanajeshi mmoja wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Ghaza baada ya mazingira kwenye medani ya mapambano kutoruhusu kumkamata mateka.
-
Kiongozi mkuu wa PKK, Abdullah Ocalan: Hatudai tena uhuru wa Kurdistan
Jul 10, 2025 09:15Abdullah Ocalan, Kiongozi aliyefungwa gerezani wa Chama cha Wafanyakazi wa Kurdistan (PKK) amewahutubia wafuasi wake kupitia ujumbe wa video kwa mara ya kwanza baada ya miongo kadhaa akiwaambia kwamba mapambano ya silaha dhidi ya Uturuki yamekwisha na kwamba sasa ni wakati wa kuhamia kwenye siasa za kidemokrasia.
-
HAMAS: Ghaza haitasalimu amri; Muqawama ndio utakaotoa masharti
Jul 10, 2025 04:05Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Izzat al-Rishq amesema, Ghaza haitasalimu amri, na ni Muqawama ndio utakaotoa masharti, si utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Yemen yazamisha meli nyingine ikielekea Israel katika Bahari Nyekundu
Jul 09, 2025 14:38Yemen imeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea Israel, ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv
Jul 09, 2025 12:53Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Mrithi wa Ufalme wa Saudia, Bin Salman
Jul 09, 2025 11:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa ngazi ya juu wa Saudi Arabia ambapo mazungumzo hayo yalihusu masuala mbalimbali yakiwemo uimarishaji wa usalama na utulivu katika eneo la Asia ya Magharibi.
-
‘Ndoto ya Ushindi’: Mwanahabari wa Israel afichua walivyolazmishwa kubana habari za vipigo vya Iran
Jul 09, 2025 10:56Mwandishi maarufu wa habari na mchambuzi wa siasa wa Israel amefichua kiwango kikubwa cha ubanaji wa habari uliofanywa na utawala wa Tel Aviv katika vita ya siku 12 vya uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel
Jul 09, 2025 10:31Duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Hamas nchini Qatar kuhusiana na mapatano ya kusitisha vita huko Gaza na kubadilishana mateka, imemalizika bila mafanikio ya maana.
-
Mahakama ya ICC yatoa vibali vya kukamatwa viongozi wa kundi la Taliban
Jul 09, 2025 00:09Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa hati za kutiwa mbaroni viongozi wawili wakuu wa kundi la wanamgambo wa Taliban, ikiwatuhumu kuwatesa wanawake na wasichana nchini Afghanistan.
-
Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?
Jul 08, 2025 23:05Licha ya kuendelea mzingiro wa Gaza na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina, lakini makundi ya muqawama ya Palestina yanaendelea kusimama kidete na kukabiliana na njama za Wazayuni.