-
Mkuu wa zamani wa jeshi la Israel: Hatuna namna ila kuondoka Ghaza
Jun 08, 2025 02:49Mkuu wa zamani wa jeshi la Israel ameikosoa serikali ya Benjamin Netanyahu kwa kukosa mkakati imara huko Ghaza akigusia pigo walilopata hivi karibuni wanajeshi wa utawala wa Kizayuni na kusema kuwa, Israel haina njia nyingine isipokuwa kukimbia kwenye ukanda wa Ghaza.
-
UNICEF yaonya tena dhidi ya mauaji ya Watoto Gaza
Jun 08, 2025 00:17Msemaji wa Mfuko wa Kuhuduumia Watoto wa Uumoja wa Mataifa (UNICEF) huko Palestina ametangaza kuwa: Mauaji ya watoto wasio na hatia na yanayoendelea Gaza yamechochea hasira ya walimwengu.
-
Wapalestina Gaza wameswali Idi juu ya magofu ya misikiti, Israel yaendeleza jinai
Jun 07, 2025 09:16Wapalestina kote Ukanda wa Gaza wameswali Swala ya Idul Adha juu ya magofu ya misikiti iliyoharibiwa na vita vya kinyama vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
-
Hamas: Tutaendeleza mapambano hadi tone la mwisho la damu
Jun 07, 2025 03:29Msemaji wa Brigedi za al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesisitiza kwamba operesheni za wanamuqawama dhidi ya uvamizi wa Israel zitaendelea "hadi pale utawala wa Kizayuni utakaposhindwa."
-
UNICEF na WFP: Hali ya watoto Ukanda wa Gaza ni mbaya mno
Jun 06, 2025 23:00Mashirika na asasi mbalimbali za kimataifa zimeendelea kuonya kuhusiana na hali mbaya inayowakabili watoto katika Ukanda wa Gaza.
-
Marais wa Iran na Misri watangaza dhamira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Jun 06, 2025 08:15Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, na Rais wa Misri, Abdel Fattah el-Sisi, wametangaza azma ya kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano baina ya mataifa yao mawili.
-
Greta Thunberg ahimiza dunia kukabiliana na jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Jun 06, 2025 08:15Mwanaharakati maarufu wa mazingira kutoka Sweden, Greta Thunberg, amesema kuwa dunia inapaswa kuelekeza macho na msisitizo wake kwenye “mzingiro na ukandamizaji” unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu wa Gaza na siyo safari yake ya baharini na kundi la kibinadamu linaloelekea Ukanda huo ulioko chini ya mzingiro.
-
Wanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel
Jun 06, 2025 08:14Wanamapambano watano wanaopigania ukombozi wa Palestina huko Gaza wamewaua na kuwajeruhi makomandoo kadhaa wa jeshi katili la Israel katika shambulio la kushtukiza dhidi ya vikosi vya utawala uvamizi wa Israel, mashariki mwa mji wa Khan Yunis, katika Ukanda wa Gaza.
-
Zaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Jun 05, 2025 22:57Zaidi ya watoto 40,000 wanaripotiwa kuabakia mayatima katika Ukanda wa Gaza kutokana na hujuma na vita vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda huo.
-
Afisa Mzayuni apandishwa cheo kwa kufanya jinai kubwa Ghaza
Jun 05, 2025 22:57Nduli mmoja wa utawala wa Kizayuni amepandishwa cheo kwa kufanya jinai kubwa zaidi dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Ghaza.