-
UN: Kila kitu kinakaribia kumalizika huko Gaza, ikiwa ni pamoja na uhai wa watu
Mar 29, 2025 08:09Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa kila kitu katika Ukanda wa Gaza kinakaribia kumalizika ikiwa ni pamoja na misaada, wakati na uhai wa watu.
-
Marekani yaendeleza hujuma dhidi ya Yemen; yafanya mashambulizi 72 katika saa 24
Mar 29, 2025 07:59Vyombo vya habari vimearifu kuwa, Marekani imefanya mashambulizi 72 ya anga katika maeneo mbalimbali ya Yemen katika muda wa saa 24 zilizopita.
-
Idadi ya waliofariki dunia katika tetemeko la ardhi Myanmar yapindukia 1,000, maelfu wamejeruhiwa
Mar 29, 2025 06:54Idadi ya watu waliofariki dunia katika tetemeko kubwa la ardhi nchini Myanmar na Thailand imepindukia watu elfu moja.
-
Umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds katika uga wa kikanda na kimataifa
Mar 29, 2025 04:44Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yalifanyika jana Ijumaa tarehe 28 Machi nchini Iran na katika miji na vijiji vya nchi nyingine duniani kwa mahudhurio makubwa ya watetezi wa Palestina.
-
Israel inashinikiza nchi za Afrika kuchukua Wapalestina wa Gaza
Mar 29, 2025 04:21Utawala ghasibu wa Isarel umeelekeza shirika lake la ujasusi la Mossad kutafuta nchi ambazo zitaafiki mpango wa kupokea idadi kubwa ya Wapalestina watakaohamishwa kwa nguvu kutoka Ukanda wa Gaza.
-
Siku ya Quds: Mamilioni ya Wayemen washiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Mar 28, 2025 23:43Wananchi wa Yemen jana walijitokeza kwa mamilioni katika maandamano ya kuunga mkono kadhia ya Palestina ikiwa ni katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo huadhimishwa kila mwaka kwa jina la Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Kushadidi maandamano na malalamiko ya kisiasa huko Israel
Mar 28, 2025 22:59Huku maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yakifanyika katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel, mivutano ya kisiasa na hitilafu katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu nayo imeongezeka na kupamba moto zaidi.
-
Zainab Nasrullah: Kuwauwa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano
Mar 28, 2025 08:40Binti wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuwauwa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano ya ukombozi.
-
Al Houthi: Mashambulizi ya Marekani hayawezi kubadilisha msimamo wa Yemen
Mar 28, 2025 08:01Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa nchi hiyo ya Kiarabu itaendelea na misimamo yake isioyumba wa kuwahami Wapalestina na mapambano yao halali ya ukombozi bila kujali ukubwa wa mashambulizi ya kijeshi wa Marekani.
-
Kilele cha ukatili wa Israel; Waliouawa shahidi Gaza wapindukia 50,200
Mar 28, 2025 04:00Jeshi katili la Israel ambalo lilianzisha mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza mnamo Machi 18, limeendelea kupuuza miito ya jamii ya kimataifa ya kukomesha ukatili wake katika ukanda huo; ambapo mpaka sasa limeshaua shahidi Wapalestina karibu 900 na kujeruhi wengine karibu 2,000.