-
Mwezi wa Ramadhani Gaza: Wapalestina wataabika kuandaa futari na daku
Mar 04, 2025 08:36Vita haribifu vya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhulumu wa Ukanda wa Gaza vimekuwa na taathira nyingi kwa wakazi wa eneo hilo katika siku za nyuma hususan katika kiipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
UNICEF yaonya Israel dhidi ya kuzuia misaada kuelekea Gaza
Mar 04, 2025 07:55Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limeonya kuwa uamuzi wa Israel wa kuzuia upelekaji wa misaada ya kibinadamu isipokuwa maji kwenye Ukanda wa Gaza, kwa haraka utapelekea hatari kubwa kwa watoto na familia ambazo tayari zimetatizika.
-
Uvurugaji wa utawala wa Kizayuni na kuongezeka wasiwasi kuhusu kuvunjika usitishaji vita huko Ghaza
Mar 04, 2025 07:47Huku awamu ya kwanza ya usitishaji vita na kubadilishana wafungwa na mateka kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas), ikiwa imemalizika, baraza la mawaziri la Netanyahu limeongeza wasiwasi wa kuanzishwa tena vita dhidi ya Ukanda wa Gaza, kwa kuvuruga mazungumzo ya utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita.
-
Jeshi la Israel latekeleza ‘Uvamiaji wa Kina Kabisa’ katika Ardhi ya Syria
Mar 04, 2025 04:34Katika hali ya kuzidisha mgogoro kwa kiwango kikubwa, vikosi vya nchi kavu vya utawala haramu wa Israel vimefanya uvamizi wa "kina kabisa" hadi sasa katika eneo la Syria, vikilenga maeneo katika mikoa ya kusini-magharibi ya Quneitra na Dara’a.
-
Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel
Mar 04, 2025 04:18Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi wake dhidi ya Gaza na kukwepa makubaliano ya usitishaji mapigano, akisisitiza kuwa njia pekee ya kuhakikisha kuachiliwa kwa mateka wa Israel ni kuanza hatua ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Qatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa
Mar 03, 2025 23:30Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetoa taarifa na kutangaza kuwa, inapinga vikali suala la raia kufa njaa na kutumiwa chakula kama silaha ya vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Filamu kuhusu Israel inavyowatimua Wapalestina katika ardhi yao yashinda tuzo ya Oscar
Mar 03, 2025 23:30Filamu kuhusu utawala haramu wa Israel unavyowatimua Wapalestina katika ardhi yao, imeshinda tuzo ya Oscar na wakurugenzi wake wametoa wito kwa ulimwengu kusaidia kumaliza mgogoro huo na kuishutumu Marekani kwa kuzuia kufikiwa utatuzi.
-
Yemen yaionya Israel, Marekani: Tunaitazama Gaza; vidole vyetu viko kwenye kitufe cha bunduki
Mar 03, 2025 12:07Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imetoa onyo kali dhidi uvamizi wa jeshi la utawala ghasibu wa Israel unaoungwa mkono na Marekani katika Ukanda wa Gaza, na kusema imejiandaa kikamilifu kuchukua hatua dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
OIC: Mzingiro dhidi ya Gaza ni jinai dhidi ya binadamu
Mar 03, 2025 11:07Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetaja mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza kuwa ni jinai dhidi ya binadamu.
-
Misri, Saudia zalaani Israel kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Mar 03, 2025 03:37Hatua ya Israel ya kuzuia kuingizwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza imelaaniwa na Misri na Saudi Arabia, huku nchi mbili hizo zikisisitiza kuwa kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.