-
HAMAS iko tayari kuwaachia mateka wote mkabala wa Israel kuondoka kikamilfu Ghaza na vita kuhitimishwa
Feb 19, 2025 03:24Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imependekeza kubadilishana mateka wote wa Israel kwa mateka Wapalestina "kwa mpigo" wakati wa awamu ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza, kwa lengo la kufikia mapatano ya kudumu na jeshi la utawala wa Kizayuni kuondoka kikamilifu katika eneo hilo.
-
Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon
Feb 19, 2025 03:24Marekani na Ufaransa zimeripotiwa kuwa zimependekeza mamluki wanaoitwa wakandarasi binafsi wapelekwe kusini mwa Lebanon katika jitihada za kuushawishi utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe kikamilifu majeshi yake nchini humo.
-
Jumuiya ya mateka wa Palestina: Mateka 58 wamekufa shahidi katika muda wa miezi sita iliyopita
Feb 18, 2025 10:13Mkuu wa Jumuiya ya mateka wa Palestina amesema, kuna hatari nyingi zinatishia maisha ya mateka wa Kipalestina, na kwamba katika kipindi cha miezi sita iliyopita, mateka 58 wamekufa shahidi wakiwa ndani ya jela za utawala wa Kizayuni.
-
Jeshi la Israel laendelea kukalia maeneo ya ardhi ya Lebanon licha ya muhula wa kuondoka kumalizika
Feb 18, 2025 10:12Muhula wa mwisho uliokuwa umetolewa kwa askari wote wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka kusini mwa Lebanon chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa kati ya utawala huo na harakati ya Hizbullah ulimalizika leo Jumanne, huku Israel ikitangaza kuwa itaendelea kubaki katika "maeneo matano ya kimkakati" ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Israel kuunda 'wakala wa kuwafukuza' Wapalestina Gaza
Feb 18, 2025 04:00Wizara ya Vita ya Israel imesema ipo mbioni kuunda chombo mahsusi cha utawala huo wa Kizayuni cha kushughulikia eti "kuondoka kwa khiari" raia wa Palestina kutoka Gaza.
-
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Israel ashtakiwa katika Mahakama ya ICC
Feb 17, 2025 08:01Gideon Sa’ar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala vamizi wa Israel ameshtakiwa kwa kutenda jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Kushindwa Trump katika "Kamari ya Jumamosi Adhuhuri"
Feb 17, 2025 04:31Jumamosi adhuhuri pia imekuja na kupita na licha ya Hamas kukataa kuwaachilia huru mateka wote wa Kizayuni kama alivyotaka Rais Donald Trump wa Marekani, rais huyo ameshindwa kutekeleza tishio lake la kuanzisha Jahannam huko Gaza.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Hatutasalimu amri na wala hatutashindwa
Feb 17, 2025 03:18Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem, amesema katika hotuba aliyotoa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuwaenzi makamanda waliouawa shahidi kwamba: Haj Imad Mughniyah alikuwa shakhsia wa kiusalama na kijeshi na mbunifu ambaye aliwaongoza Mujahidina kwa msingi wa moyo wa imani.
-
Netanyahu: Mpango wa Trump wa "kuitwaa Ghaza" ni "fursa ya kihistoria" ya kudhamini mustakabali wa Israel
Feb 17, 2025 03:15Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameliita pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump la "kuitwaa" Ghaza "fursa ya kihistoria" ya kudhamini mustakabali wa utawala huo bandia na kudai kwamba kuwaondoa Wapalestina wa Ghaza ndilo "suluhisho pekee linalowezekana."
-
HAMAS: Wavamizi hawatokuwa salama ndani ya ardhi ya Palestina
Feb 17, 2025 01:04Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuzungumzia mpango wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa Ghaza na kutangaza kuwa wavamizi hawatokuwa salama ndani ya ardhi hiyo ya Palestina.