-
Israel inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Lebanon
Feb 16, 2025 10:30Utawala wa Kizayuni wa Israel umeshambulia kusini mwa Lebanon na kudai kuwa umemuua mmoja wa makamanda wa kikosi cha anga cha Hizbullah.
-
Kuendelea upinzani mkubwa dhidi ya mpango wa Trump kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza
Feb 16, 2025 10:21Katika muendelezo wa upinzani mkubwa dhidi ya mpango wa Trump wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Gaza, mbali na Waislamu, Wakristo pia wamepinga na kulalamikia mpango huo na kuonya dhidi ya matokeo yake mabaya.
-
Jibu la HAMAS kwa Trump: Quds na Msikiti wa al-Aqswa ni mstari wetuu mwekundu
Feb 15, 2025 22:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, hakuna mpango wowote wa kuwaondoa kwa lazima wananchi wa Palestina utakaokubaliwa.
-
Malengo maovu ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Feb 15, 2025 22:51Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza mashambulizi ya kinyama katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hizbullah: Kudumisha mahusiano na Iran ni kwa maslahi ya Lebanon
Feb 15, 2025 08:51Mjumbe mwandamizi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah nchini Lebanon amekosoa jinsi serikali ya Lebanon ilivyoshughulikia mgogoro wa Alhamisi katika uwanja wa ndege wa mji mkuu Beirut, akisisitiza kwamba kudumisha mahusiano yenye mlingano na Iran ni kwa maslahi ya Lebanon.
-
Hamas yawaachilia mateka watatu Waisraeli mkabala wa wafungwa 369 wa Kipalestina
Feb 15, 2025 08:38Wanaharakati wa mapambano ya Kiislamu au Muqawama wa Gaza wamewakabidhi mateka watatu Waisraeli kwa Msalaba Mwekundu kwa kubadilishana na Wapalestina 369 ambao wataachiliwa baadaye, ikiwa ni sehemu ya mkataba wa kubadilishana mateka na wafungwa unaoendelea chini ya makubaliano ya usitishaji vita.
-
Wito wa Hamas wa kuanzishwa harakati ya kimataifa ya kupinga mpango wa kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina
Feb 15, 2025 08:02Harakati ya Mapambano yya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa mataifa ya Kiarabu, Kiislamu na yaliyo huru duniani kujitokeza katika maandamano ya kupinga na kulaani mradi wa kuwaondoa kwa nguvu wananchi wa Palestina katika ardhi yao.
-
Kundi la Waarabu UN lapinga kufurushwa Wapalestina Gaza
Feb 15, 2025 03:44Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote ya "kuwaondoa kwa nguvu" Wapalestina huko Gaza, na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Wapalestina 369 mkabala wa Waisraeli 3 wanaachiwa leo katika duru ya sita ya kubadilishana mateka
Feb 15, 2025 00:08Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetaja majina ya mateka watatu Wasraeli wenye uraia pacha ambao wanatazamiwa kuachiliwa leo katika duru ya sita ya mabadilishano ya mateka chini ya awamu ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Hamas yaonya juu ya kuvunjika makubaliano ya kusitisha mapigano
Feb 14, 2025 23:13Msemaji wa Brigedi za Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina HAMAS ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuvunjika makubaliano ya kusitisha vita kama utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya vitendo vinavyovunja vipengee vya makubaliano hayo.