-
Usitishaji vita waanza kutekelezwa huko Lebanon
Nov 27, 2024 04:27Makubaliano ya kusitisha vita nchini Lebanon yamenza kutelezwa mapema leo saa kumi alfajiri kwa saa za Beirut.
-
Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel atoa wito wa kukalia kwa mabavu Gaza, kupunguza idadi ya wakazi wake hadi nusu
Nov 26, 2024 23:49Waziri wa Fedha wa Israel anayejulikana kwa itikadi kali ametoa wito wa kukaliwa kwa mabavu eneo la Ukanda wa Gaza na kupunguza nusu ya wakazi wa eneo hilo la Palestina ambalo linaendelea kushuhudia mauaji ya kimbari ya jeshi la Israel kwa karibu miezi 14 sasa.
-
Wazayuni wamekithiri kumwaga damu za watoto Ghaza, kila nusu saa mtoto mmoja anakufa shahidi
Nov 26, 2024 04:34Kituo cha Habari cha Palestina kimetangaza kuwa, watoto 17,400 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu yalipoanza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza tarehe 7 Oktoba mwaka jana.
-
Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani
Nov 26, 2024 03:12Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Yoav Gallant anapanga kusafiri kuelekea Marekani licha ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kumkamata kwa kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Sababu na malengo ya utawala wa Kizayuni ya kutishia kuishambulia Iraq
Nov 25, 2024 22:58Baada ya mauaji ya kimbari huko Gaza na jinai dhidi ya Lebanon na pia mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya Syria, hivi karibuni utawala wa Kizayuni umeitishia kuishambulia kijeshi Iraq.
-
Hizbullah na Israel zavunja rekodi ya saa 24
Nov 25, 2024 22:57Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imevunja rekodi kwa kufanya zaidi ya operesheni 50 za kuutwanga utawala wa Kizayuni katika kipindi cha saa 24 huku Israel nayo ikivunja rekodi kwa kupiga ving'ora vingi zaidi vya hatari, suala ambalo halijawahi kutokea katika historia nzima ya utawala pandikizi wa Kizayuni.
-
Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza
Nov 25, 2024 10:40Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo wanawake katika nchi nyingi za dunia bado wako chini ya ukandamizaji, dhulma na unyanyasaji, hali ambayo ni mbaya zaidi katika maeneo ya vita kama Ukanda wa Gaza.
-
Wanajeshi wa Kizayuni washambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi
Nov 25, 2024 10:06Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Wapalestina kadhaa wameuawa shahidi na wengine kujeruhiwa katika hujuma hiyo ya Wazayuni.
-
Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi
Nov 25, 2024 09:47Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza ambayo imezingirwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuhitimisha maangamizi inayoendelea kufanywa na utawala huo kaskazini mwa Palestina.
-
Hizbullah yashambulia vituo vya Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora
Nov 25, 2024 04:33Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulizi makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israel, ikilenga maeneo ya ndani kabisa ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.