-
HAMAS: Andamaneni na zidini kuzizingira balozi za utawala wa Kizayuni na wanaouunga mkono
Nov 14, 2024 03:44Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa wito wa kuzidishwa harakati za umma katika ngazi ya kimataifa katika kulaani mwendelezo wa jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza na kuliunga mkono taifa la Muqawama la Palestina.
-
Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni
Nov 14, 2024 03:35Katibu Mkuu wa Hizbullah Sheikh Naim Qassem amewaandikia barua wapiganaji wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, akiwapongeza kwa mapambano ya kujivunia wanayoyaendeleza katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake.
-
Jinai mpya za Israel: Zaidi ya Wapalestina 2,000 wauawa kwa umati katika siku 38
Nov 13, 2024 23:14Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali ya Ukanda wa Ghaza imetangaza kuwa, wanajeshi makatili wa Israel wameua shahidi zaidi ya raia 2,000 kaskazini mwa ukanda huo baada ya utawala huo ghasibu kuanzisha kampeni ya kuangamiza kabisa kila kitu cha eneo hilo tangu siku 38 zilizopita.
-
Hizbullah yaendelea kutoa vipigo, sasa imepiga wizara ya vita ya Israel
Nov 13, 2024 23:14Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon jana Jumatano uliitwanga kwa mara ya kwanza wizara ya vita ya utawala wa Kizayuni mjini Tel Aviv kwa kutumia ndege zisizo na rubani, likiwa ni shambulio la aina yake na la mara ya kwanza tangu vilipoanza vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Muqawama wa Lebanon na Palestina.
-
Msimamo mmoja wa nchi za Kiislamu na Kiarabu katika kulaani jinai za Israel dhidi ya Gaza
Nov 13, 2024 23:09Kikao cha dharura cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa ajili ya kuunga mkono kadhia ya Palestina kilifanyika siku ya Jumatatu mjini Riyadh Saudi Arabia, ambapo msimamo wa pamoja unaolaani jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina Lebanon ulipitishwa katika taarifa ya mwisho ya kikao hicho.
-
Kwa mara ya kwanza Hizbullah yakishambulia kituo kikubwa cha jeshi la anga la Israel
Nov 13, 2024 08:32Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, kwa mara ya kwanza, imeshambulia kwa makombora kambi kubwa ya jeshi la anga la utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni sehemu ya ulipizaji kisasi dhidi ya ukatili unaofanywa na utawala huo ghasibu.
-
Umoja wa Mataifa: Israel ilikwamisha asilimia 85 ya majaribio ya kupelekwa misaada Gaza
Nov 13, 2024 03:38Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, asilimia 85 ya majaribio yake ya kuratibu misafara ya misaada na ziara za kibinadamu kaskazini mwa Gaza yalikataliwa au kuzuiwa na mamlaka ya Israel mwezi uliopita.
-
Netanyahu ajificha kwenye 'chumba cha chini ya ardhi' kwa kuhofia mapigo ya Wanamuqawama
Nov 12, 2024 22:48Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameripotiwa kuwa anafanya kazi kutoka kwenye "chumba cha chini ya ardhi" kwa hofu ya ulipizaji kisasi na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani na harakati za Muqawama wa Kiislamu katika eneo la Asia Magharibi.
-
Maafisa watano wa jeshi la Israel waangamizwa kaskazini mwa Ghaza
Nov 12, 2024 09:16Maafisa wengine watano wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa na wanamapambano wa Kiislamu kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha saa 24 zilizopita.
-
Taarifa ya kikao cha Riyadh yasisitiza kuliunga mkono kwa dhati taifa la Palestina
Nov 12, 2024 04:22Washiriki wa kikao cha viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia wamesisitiza umuhimu wa kuzingatiwa suala la Palestina kama kadhia kuu na kuwaunga mkono kwa dhati wananchi wa taifa hilo ili wapate haki zao za kitaifa na zenye uhalali.