-
Sayyid Hassan Nasrullah: Israel inapitia siku mbaya zaidi
Jul 11, 2024 03:31Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema katika hotuba yake kuwa Utawala wa Kizayuni unapitia siku mbaya zaidi za historia yake bandia na kuwa mwishowe utawala huo utalazimika kusimamisha vita huko Ukanda wa Gaza.
-
Mke wa kiongozi wa zamani wa kundi la kigaidi la Daesh ahukumiwa kifo
Jul 11, 2024 03:23Mahakama ya Jinai ya Karkh jana Jumatano, ilitoa hukumu ya kifo dhidi ya mke wa aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al-Baghdadi, kwa kupatikana na hatia ya kufanya kazi na genge la kigaidi la ISIS, kuwaweka kizuizini na kuwatesa wanawake wa Kiyazidi nyumbani kwake.
-
Duru mpya ya mashambulizi ya kinyama na yasiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza
Jul 10, 2024 23:04Duru mpya ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza inajiri huku jeshi la utawala huo likiendelea kupata vipigo na kushindwa katika mapigano na vita mkabala wa makundi ya muqawama ya Palestina.
-
Yemen yashambulia meli za US na Israel kwa makombora, droni
Jul 10, 2024 23:02Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya wanamaji na vya makombora vya nchi hiyo vimefanya operesheni nyingine dhidi ya meli tatu za kibiashara za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
UN: Theluthi moja ya shule za UNRWA huko Gaza zimeshambuliwa na Israel, zimekuwa maeneo ya vifo
Jul 10, 2024 08:55Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, amesema leo Jumatano, kwamba shule za Ukanda wa Gaza zimegeuka kuwa sehemu za taabu na vifo.
-
Kuendelea mvutano kati ya Waziri Mkuu na Jeshi la Kizayuni
Jul 10, 2024 04:53Mzozo kati ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu, na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuongezeka huko Tel Aviv.
-
Umoja wa Ulaya walaani jinai za Wazayuni Khan Yunis
Jul 10, 2024 03:34Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amelaani mauaji ya raia yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni huko Khan na kusema kuwa: Je, raia wasio na hatia watavumilia hadi lini mzozo huu mkali?
-
Jeshi la Israel ndilo jeshi lenye maadili machafu zaidi duniani
Jul 09, 2024 23:28Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, jeshi la Israel ndilo jeshi lenye maadili machafu zaidi duniani na kusisitiza kuwa, uungaji mkono wa Hizbullah kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Ghaza utaendelea hadi taifa la Palestina litakapojikomboa.
-
Shirika la Afya Duniani: Ukanda wote wa Gaza sio salama
Jul 09, 2024 22:57Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa, hali ya usafi ya Ukanda wa Gaza sio nzuri na hakuna mahali salama katika eneo hili.
-
Iran: Uzayuni ni dhihirisho la ubaguzi wa rangi
Jul 09, 2024 08:52Balozi na Mwakilishi wa Iran katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Geneva, Uswisi ameutaja Uzayuni kuwa dhihirisho la ubaguzi.