-
Hizbullah ya Lebanon yadungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni
Jun 01, 2024 23:40Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imeidungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya anga ya Lebanon.
-
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa kuondoka Iraq mwishoni mwa mwaka ujao
Jun 01, 2024 22:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limjepasisha kwa pamoja uamuzi wea kuondoka Iraq ujumbe ujumbe wa kisiasa wa umoja huo.
-
Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'
Jun 01, 2024 07:43Harakati ya Muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema inautazama kwa jicho la shaka mpango uliotangazwa na Rais wa Marekani kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Ghaza.
-
Yemen yalenga kwa makombora meli kubwa ya kivita ya Marekani, USS Eisenhower, katika Bahari ya Sham
Jun 01, 2024 04:50Msemaji wa jeshi la Yemen amesema wanajeshi wa nchi hiyo wameilenga meli kubwa ya kivita ya Marekani yenywe uwezo wa kubeba ndege, USS Dwight D. Eisenhower, katika Bahari ya Sham ikiwa ni katika kujibu mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Nasrallah: Israel ni uvimbe wa saratani, lazima iondolewe katika eneo
Jun 01, 2024 04:49Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametaka juhudi za kimataifa za kuutokomeza utawala wa Kizayuni, akisema ni utawala huo ni 'uvimbe wa saratani" ambao lazima uondolewe.
-
Hamas: Israel inatumia mazungumzo kuendeleza mauaji ya kimbari Gaza
Jun 01, 2024 04:48Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, utawala ghasibu wa Israel unarefusha kwa makusudi mazungumzo ya usitishaji vita ili kuendeleza vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Ghaza.
-
Umuhimu na taathira za wimbi jipya la operesheni za vikosi vya Yemeni katika Bahari Nyekundu dhidi ya vikosi vya Marekani
May 31, 2024 22:49Vikosi vya Yemen vimefanikiwa kutekeleza oparesheni mpya kadhaa dhidi ya meli zinazosindikizwa na manowari za Marekani katika Bahari Nyekundu na ya Mediterania.
-
UNRWA: Wapalestina 16,000 wanaishi katika 'hali mbaya' kwenye skuli moja katikati ya Ghaza
May 31, 2024 06:44Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNWRA) limesema, zaidi ya Wapalestina 16,000 waliolazimika kuyahama makazi yao wanaishi katika hali mbaya kwenye skuli moja ya shirika hilo iliyoko katika mji wa Deir al-Balah katikati mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Yemen yaapa kutoa jibu la 'kuumiza mno' baada ya shambulio la US na UK kuua makumi ya watu
May 31, 2024 06:44Yemen imeapa kuwa itatoa jibu la "kuumiza mno" kwa mashambulizi yaliyofanywa na Marekani na Uingereza dhidi ya meneo kadhaa ya taifa hilo la Kiislamu, na kusababisha vifo vya watu wapatao 16 na kuwajeruhi wengine kadhaa.
-
Kushambulia Rafah; kipaumbele cha Israeli na kupuuzwa matakwa ya kimataifa
May 30, 2024 23:07Huku ukiwa umepuuza matakwa na maonyo ya kimataifa kuhusu athari na matokeo hatari ya kibinadamu ya kushambuliwa mji wa mpakani wa Rafah ulioko kusini mwa Ukanda wa Gaza, utawala wa Kizayuni umetuma vikosi vya kivita katika eneo hilo, ambapo vinaua kikatili wakazi wake bila kujali lolote.