-
Katibu Mkuu wa UN alaani Israel kuzuia malori ya misaada yasiingie Ghaza, 7,000 yamepanga safu Misri
Mar 24, 2024 03:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani kuzuiwa kwa malori ya misaada yaliyoko katika upande wa Misri wa mpaka na Ukanda wa Ghaza, akiielezea hatua hiyo kuwa inasababisha "ghadhabu ya kimaadili."
-
Muqawama wa Iraq: Tumeshambulia kwa droni makao makuu ya wizara ya masuala ya kijeshi ya Israel
Mar 24, 2024 03:06Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imetangaza kuwa imeshambulia makao makuu ya wizara ya masuala ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia ndege isiyo na rubani mapema leo Jumapili.
-
Wapalestina 72 wameuawa shahidi Ukanda wa Gaza katika masaa 24 yaliyopita
Mar 23, 2024 23:22Wizara ya Afya ya Palestina jana ilitangaza kuwa Wapalestina wasiopungua 72 wameuawa shahidi na wengine 114 kujeruhiwa katika masaa 24 yaliyopita kufuatia mauaji ya kimbari yanayondelea kufanywa na Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
Israel yapora ekari 2,000 za ardhi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Mar 23, 2024 04:10Utawala ghasibu wa Israel umetangaza habari ya kunyakua ekari karibu 2,000 (hektari 800) za ardhi ya Palestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Hizbullah yajibu mapigo, yapiga ngome za Israel kwa droni na mizinga
Mar 23, 2024 04:06Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza kwa kupiga ngome na kambi za kijeshi za Wazayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa makombora ya mizinga na ndege zisizo na rubani (droni).
-
"Hakuna mwanachama wa HAMAS aliyekamatwa katika Hospitali ya al-Shifa"
Mar 22, 2024 08:16Afisa usalama wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepuuzilia mbali madai ya utawala haramu wa Israel kwamba makumi ya wanachama wa kundi hilo la mapambano ya Kiislamu wamekatwa na askari wa Kizayuni katika Hospitali ya al-Shifa katika Ukanda wa Gaza.
-
Bandari ya Israel kuwatimua nusu ya wafanyakazi kutokana na hujuma za Yemen
Mar 22, 2024 07:25Asilimia 50 ya wafanyakazi katika bandari ya Eilat ya utawala wa Kizayuni wa Israel wapo hatari ya kupigwa kalamu nyekundu kutokana na athari za mashambulizi ya vikosi vya Yemen katika Bandari Nyekundu.
-
Mufti wa Oman afananisha mashambulizi ya Israel huko Gaza na Vita vya Ahzab
Mar 22, 2024 03:32Mufti wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, amefananisha vita vya Israel katika Ukanda wa Gaza vinavyoendelewa kwa zaidi ya miezi mitano, na Vita vya Ahzab vinavyojulikana katika historia ya Kiislamu kwa jina la Vita vya Khandak.
-
Kuendelea mapambano, mhimili wa muqawama dhidi ya mauaji ya kimbari ya Gaza
Mar 21, 2024 22:54Ikiwa ni katika kukabiliana na muendelezo wa mashambulizi ya kinyama ya Israel katika Ukanda wa Gaza, mhimili wa muqawama wa Palestina, Lebanon, Iraq na Yemen umeshambulia maeneo kadhaa ya Wazayuni.
-
Palestina: Safari za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani katika eneo hazina tija yoyote
Mar 21, 2024 10:37Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imesema diplomasia inayofanywa na Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani Anthony Blinken katika Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) bado haijatoa "matokeo yoyote ya kuonekana" kwa ajili ya Ghaza.