-
Hamas: Miili ya makaburi ya umati Gaza ifanyiwe uchunguzi
Apr 26, 2024 23:17Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito wa kutumwa timu za uchunguzi ili kutambua miili iliyogunduliwa kwenye makaburi ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia meli ya Israel, Bandari ya Eilat kuonyesha mshikamano na Gaza
Apr 26, 2024 04:11Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vimefanikiwa kulenga meli ya utawala wa Israel katika Ghuba ya Aden pamoja na Bandari ya Eilat katika sehemu ya kusini ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu (Israel) katika operesheni mpya zinazoiunga mkono Palestina.
-
Amir-Abdollahian: White House inapasa kusitisha haraka uungaji mkono wake kwa jinai za kivita za Israel
Apr 25, 2024 23:39Akikosoa ukandamizaji na unyanyasaji wa askari usalama vya Marekani dhidi ya wahadhiri na wanafunzi wanaopinga jinai za kivita za utawala ghasibu wa Israel, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Ikulu ya Marekani inapasa kusitisha haraka iwezekanavyo uungaji mkono wake kwa jinai za kivita za utawala ghasibu wa Israel.
-
UN: Hatuwezi kuwaambia Wapalestina wasubiri misaada
Apr 25, 2024 23:36Jumuiya ya kimataifa ina jukumu na wajibu wa kufanya kazi kufanikisha kukwamua Gaza lakini hatuwezi kuwaambia raia Wapalestina wanaoteseka wasubiri, amesema afisa wa Umoja wa Mataifa anayehusika na ufikishaji wa misaada kwenye eneo hilo linalokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala haramu wa Israel.
-
Hizbullah: Tumeua na kujeruhi askari 2,000 wa Israel katika operesheni 1,650 tangu vilipoanza vita vya Ghaza
Apr 25, 2024 08:46Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imeua na kujeruhi zaidi ya wanajeshi 2,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika operesheni zake 1,650 ilizotekeleza katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.
-
Afrika Kusini yataka uchunguzi wa haraka kuhusu makaburi ya halaiki Ukanda wa Gaza
Apr 25, 2024 04:02Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Afrika Kusini imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa kina kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Maandamano dhidi ya Netanyahu yageuka kuwa ya ghasia
Apr 25, 2024 03:57Maandamano ya kupinga baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu huko Tel Aviv yageuka kuwa ya ghasia na vurugu kali.
-
Idadi ya Wazayuni wanaoomba misaada ya kisaikolojia yaongezeka
Apr 25, 2024 02:36Televisheni ya utawala wa Kizayuni imetangaza ongezeko la mara nne la maombi ya yanayotolewa na Wazayuni kwa ajili ya kupata misaada ya kisaikolojia kufuatia operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli ya kuuadhibu utawala huo.
-
Jeshi la Israel laendeleza mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza
Apr 24, 2024 23:14Jeshi la utawala ghasibu wa Israel limeua raia zaidi Wapalestina huku likiendeleza vita vyake vya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza
-
UN: Ufanyike uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza + Video
Apr 24, 2024 04:42Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika hospitali kuu mbili za Ukanda wa Gaza.