-
Iran, China na Russia zafanya mazoezi ya tano ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman
Mar 12, 2024 09:00Majeshi ya wanamaji ya Iran, China na Russia leo yameanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman, yakiwa ni mazoezi ya tano ya pamoja kufanywa na majeshi hayo katika miaka ya hivi karibuni.
-
Hizbullah yajibu mashambulizi kwa kuupiga utawala wa Kizayuni kwa makombora 100
Mar 12, 2024 08:11Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon mapema leo Jumanne, umekipiga kwa makombora zaidi ya 100 ya Katyusha, kituo kikuu cha ulinzi wa anga cha utawala wa Kizayuni katika maeneo ya kaskazini mwa Palestina yaliyopachikwa jinai bandia la Israel.
-
Unicef: Ni muhali kuelezea maafa ya Gaza
Mar 12, 2024 04:18James Elder msemaji wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa hakuna maneno yanayoweza kuelezea maafa yanayowapata watu wa Gaza.
-
Kushadidi mivutano baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la Israel
Mar 12, 2024 02:24Yair Lapid, kiongozi wa chama cha upinzani cha Yesh Atid amekiri juu kushadidi hitilafu na mizozo ya ndani baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
UNFPA: Wanawake ni waathirika wakubwa wa mfumo wa afya usiofanya kazi wa Yemen
Mar 11, 2024 23:02Naibu Mwakilishi wa Mfuko wa Idadi ya Watu wa Umoja wa Mataifa (UNFPA) nchini Yemen ameeleza kuwa aghalabu ya hospitali na vituo vya afya nchini humo havifanyi kazi kutokana na hali ya mgogoro iliyoikumba nchi hiyo na hivyo kusababisha vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga.
-
Rabi mkuu wa Wayahudi atishia kuondoka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Mar 11, 2024 22:54Rabi Mkuu wa Wayahudi, Ishaq Yosef, ametishia kuwa wataondoka wote Israel iwapo kabila la Lawi litalazimishwa kujiunga na jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Muqawama walitia hasara kubwa jeshi la Israel Gaza na Lebanon
Mar 11, 2024 08:34Makundi ya muqawama yamelisababishia hasara kubwa jeshi la Israel katika Ukanda wa Gaza, wakati huu ambapo utawala huo wa Kizayuni unandeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi wa eneo hilo lililo chini ya mzingiro.
-
Yemen yawaasa Waislamu wasusie bidhaa za Israel, Marekani
Mar 11, 2024 07:54Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kususia bidhaa zinazozalishwa na Israel na Marekani, akisisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa ni zawadi ndogo ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wanaoendelea kuuawa kikatili na utawala wa Kizayuni.
-
Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi
Mar 11, 2024 07:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuunga mkono jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, uungaji mkono huo umefichua dhati halisi ya Wamagharibi.
-
Muigizaji wa kimataifa Khaled Abdullah: Ramadhani itukumbushe njaa ya watu wa Gaza
Mar 11, 2024 04:39Muigizaji wa Uingereza mwenye asili ya Misri, Khaled Abdullah, ametuma ujumbe wa kuwaunga mkono watu wa Palestina kupitia akaunti yake kwenye jukwaa la "X", akisema mwanzo wa mwezi wa Ramadhani ni fursa ya kukumbuka mateso ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kuwaokoa kutokana na njaa.