-
Safari ya Shamkhani UAE; harakati mpya katika diplomasia ya ujirani mwema
Mar 17, 2023 03:53Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran Alkhamisi ya jana alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Imarati katika safari yake huko Abu Dhabi na kujadiliana naye kuhusu masuala yanayozihusu pande mbili na matukio muhimu zaidi ya kikanda na kimataifa.
-
Vikosi maalumu vya Israel: Hatutahudumu katika jeshi kuanzia Jumapili
Mar 17, 2023 03:24Maafisa 100 wa Kikosi cha Akiba cha Oparesheni Maalumu cha utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza kuwa, hawatahudumu jeshini kuanzia Jumapili ijayo wakilalamikia uamuzi wa serikali ya utawala huo wa kubadili muundo wa sheria za mahakama.
-
Assad: Nitakutana na Erdogan pale Uturuki itakapoondoka Syria na kuacha kuunga mkono ugaidi
Mar 16, 2023 22:56Rais wa Syria ametoa sharti la kukutana na Rais wa Uturuki akisema kuwa atafanya hivyo iwapo nchi hiyo itaondoa wanajeshi wake katika ardhi ya Syria na kusitisha uungaji mkono wake kwa ugaidi.
-
Mataifa ya Ulaya yakosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Mar 16, 2023 04:10Mataifa kadhaa ya Ulaya yamekosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel huko Palestina na kutoa mwito wa kukomeshwa mara moja sera hizo ambazo ni kinyume cha sheria za kimataifa.
-
National Review: Makubaliano ya Iran-Saudia ni kikwazo kikubwa kwa sera za kigeni za Marekani
Mar 15, 2023 08:51Jarida la National Review limeandika kuwa: Makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia ambayo yalifikiwa kwa upatanishi wa China ni kushindwa kukubwa kwa malengo ya sera za nje za Marekani katika eneo la Mashariki mwa Asia.
-
HAMAS yaionya Israel dhidi ya kuhujumu Msikiti wa Aqsa wakati wa Ramadhani
Mar 15, 2023 06:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kuhujumu na kuuvamia Msikiti wa al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya China, Iran na Russia yaanza katika Bahari ya Oman
Mar 15, 2023 04:28Wizara ya Ulinzi ya China imetangaza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya majini yanayoishirikisha nchi hiyo, Iran na Russia yatafanyika katika Bahari ya Oman kuanzia leo Jumatano hadi Machi 19.
-
Katibu Mkuu wa Arab League: Kupatana Tehran na Riyadh ni hatua chanya kwa maana halisi
Mar 15, 2023 04:08Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema makubaliano yaliyofikiwa kati ya Iran na Saudi Arabia ni hatua nzuri na chanya kwa maana yake halisi na akaongeza kuwa athari zake za kwanza ni kupatikana kwa namna fulani utulivu wa kisiasa na kiusalama kati ya nchi hizo mbili.
-
Umoja wa Mataifa: Jamii ya kimataifa imewatelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria
Mar 14, 2023 08:16Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa jamii ya kimataifa haikuchukua hatua za haraka za kupeleka misaada kwa wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria.
-
Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo
Mar 13, 2023 22:38Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amesisitiza namna hitilafu na migawanyiko inayoikabili Israel sasa inavyodhihirisha kwa walimwengu kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo ghasibu na kueleza kuwa muqawama wa Palestina unaweza kustafidi na fursa ya mfarakano huu unaoukabili utawala wa Kizayuni.