-
Makundi ya mapambano ya Palestina yakaribisha mapatano baina ya Iran na Saudia
Mar 11, 2023 07:07Makundi mbalimbali ya Wapalestina yamekaribisha makubaliano ya kurejesha tena uhusiano kati ya Tehran na Riyadh kwa kutoa taarifa tofauti.
-
Nasruallah: Eneo bila kuwepo Israel ni uhalisia utakaoshuhudiwa katika mustakabali
Mar 11, 2023 03:59Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, eneo bila kuwepo Israel si ndoto na matarajio tu bali ndio uhalisia utakashuhudiwa katika mustakabali.
-
Makubaliano ya kurejesha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Saudi Arabia
Mar 10, 2023 09:14Iran na Saudi Arabia zimefikia makubaliano ya kurejesha uhusiano wao wa kidiplomasia na kufungua tena balozi, miaka saba baada ya kuvunjika uhusiano huo kutokana na masuala kadhaa.
-
Saudia yaiomba US iisaidie mpango wake wa nyuklia mkabala wa kuanzisha rasmi uhusiano na Israel
Mar 10, 2023 07:03Saudi Arabia imeiomba Marekani iisaidie katika mpango wake wa kurutubisha madini ya urani ili mkabala wake Riyadh itangaze rasmi kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Hayo ni kwa mujibu wa gazeti la Wall Street linalochapishwa nchini Marekani.
-
Matamshi ya waziri wa Saudia, kuanzia kushindwa nchini Syria hadi hitilafu na Imarati
Mar 10, 2023 02:18Faisal bin Farhan Aal Saud, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mahojiano na televisheni ya al Arabia ya nchi hiyo na amekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuwa siasa za Riyadh zimefeli nchini Syria kama ambavyo amekiri kwamba kuna hitilafu baina ya Saudia na Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Iran yalaani mashambulizi ya kinyama ya Israel dhidi ya Syria
Mar 09, 2023 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani wimbi la mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria, wakati huu ambapo taifa hilo linakabiliwa na matatizo chungu nzima kutoka na maafa makubwa ya matetemeko ya ardhi.
-
Mgogoro mkubwa waendelea 'Israel;' maandamano ya "Kupambana na Udikteta" yafanyika maeneo 130
Mar 09, 2023 22:55Kuanzia asubuhi ya jana Alkhamisi, maelfu ya Wazayuni wamemiminika mitaani kushiriki maandamano makubwa zaidi dhidi ya Netanyahu yaliyopewa jina la "Kupambana na Udikteta." Waandamanaji wamefunga barabara kuu zinazoelekea Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion, kujaribu kumzuia Waziri Mkuu wa utawala huo asiende Italia.
-
Arab League yaitaka jamii ya kimataifa kusitisha mauaji ya Israel huko Jenin
Mar 09, 2023 07:29Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imeitaka jamii ya kimataifa kusitisha mauaji na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina hususan katika eneo la Jenin.
-
Ansarullah: Mazungumzo yakivunjika tutaingia kwenye vita vya kuamua hatima ya Yemen
Mar 09, 2023 03:11Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema iwapo mazungumzo ya hivi sasa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia yatafeli, vita vikali vitaanza vya kuhitimisha uchokozi na uvamizi huo.
-
Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine wavamia msikiti wa al-Aqswa
Mar 08, 2023 23:06Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikkali wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.