-
Kuongezeka hitilafu ndani ya jeshi na kuimarika uwezekano wa mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Netanyahu
Mar 08, 2023 23:02Katika kukabiliana na maandamano ya hivi karibuni, uasi na ukaidi wa askari wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala huo haramu, ameonya kuwa vitendo vya aina hiyo vinatishia "misingi muhimu ya Israel" na kwamba tabia hiyo itaenea haraka katika mfumo mzima wa utawala huo.
-
'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin
Mar 08, 2023 06:23Kundi la Muqawama wa Kiislamu la Arin al Usud (Pango la Simba) limesema litalipiza kisasi cha mauaji ya kikatili ya Wapalestina katika mji wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hamas: Jinai za utawala wa Kizayuni hazitawatia hofu watu wa Wapalestina
Mar 08, 2023 03:06Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ikiilaani jinai za Wazayuni huko Jenin na kusisitiza kuwa: Jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na mauaji yake dhidi ya raia wa Palestina kamwe hazitalitia hofu taifa hilo.
-
Iran kushiriki kikao cha pande nne cha kuratibu kuanzishwa tena uhusiano wa Uturuki na Syria
Mar 07, 2023 22:54Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa, maandalizi ya mkutano wa pande nne utakayohudhuriwa pia na Iran kwa ajili ya kuanzishwa tena uhusiano kati ya Uturuki na Syria yanaendelea.
-
Rais wa Palestina: Walimwengu chukueni hatua za kuzuia ugaidi wa Israel
Mar 07, 2023 22:53Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka jamii ya kimataifa kukomesha ugaidi wa Israel na kufanya juhudi za kuhitimisha uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Nasrullah: Matukio ya sasa yanaashiria hakika ya kusambaratika Israel
Mar 07, 2023 04:05Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.
-
Waziri mwenye itikadi kali wa Israel aamuru kubomolewa nyumba za Wapalestina mwezi wa Ramadhani
Mar 06, 2023 23:04Waziri mwenye misimamo ya kupindukia mipaka wa usalama wa ndani wa utawala wa haramu wa Israel ametoa amri ya kuharibiwa nyumba za wananchi wa Palestina katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Iraq: Katika siku za usoni tutakuja kukabiliwa na kizazi kipya cha DAESH (ISIS)
Mar 06, 2023 06:29Msemaji wa Kamandi Kuu ya vikosi vya ulinzi vya Iraq ametoa indhari kwa kusema: "katika miaka michache ijayo, tutakabiliana na kizazi kipya cha magaidi wa DAESH (ISIS), tukiwa hatuna taarifa zozote za kukitambua kizazi hicho".
-
Jumuiya ya al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kufanywa kaburi la haki za binadamu
Mar 06, 2023 04:11Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa, nchi ya Bahrain imegeuzwa na kufanywa kuwa kaburi la haki za binadamu na kwamba, haipaswi kughafilika na hatua zinazochukuliwa na utawala huo ambazo ni kinyume cha sheria.
-
Walowezi wa Kizayuni waendeleza vitendo vya kuuvamia msikiti wa al-Aqswa
Mar 06, 2023 04:04Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.