-
Mapitio katika uhusiano wa Iran na Oman; majirani wawili wenye maslahi na mambo mengi ya pamoja
Dec 31, 2022 22:56Kati ya mataifa ya Kiarabu ya Ukanda wa Ghuba ya Uajemi, Oman ni moja ya mataifa ambayo daima yamekuwa na uhusiano thabiti na wa kirafiki na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) yasisitiza wasichana kupatiwa elimu Afghanistan
Dec 31, 2022 09:29Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametoa wito wa kufanyika kampeni ya kuandaa mazingira ya kupatiwa elimu wasichana wa Afghanistan.
-
Mufti Mkuu wa Oman aunga mkono kususiwa utawala haramu wa Israel
Dec 31, 2022 05:40Mufti Mkuu wa Oman ameunga mkono mpango wa Bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.
-
Hamas yaipongeza Oman kwa msimamo wake wa kususiwa utawala wa Kizayuni
Dec 31, 2022 04:02Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesifu na kupongeza msimamo wa Bunge la Oman katika fremu ya kushadidisha kususiwa utawala haramu wa Israel.
-
Qatar yalaani mpango wa Netanyahu wa kupanua vitongozi wa walowezi wa Kizayuni
Dec 31, 2022 04:01Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imelaani vikali mpango wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel wa kupanua vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Dec 30, 2022 22:41Benjamini Netanyahu amepata kura ya kuwa na imani naye kwenye Knesset, bunge la utawala haramu wa Israel, na hivyo kupata fursa nyingine ya kuongoza baraza la mawaziri la utawala huo.
-
Ripoti: Mwaka 2022 umeshuhudia jinai kubwa zaidi katika historia ya Saudi Arabia
Dec 30, 2022 08:14Mwaka huu unaomalizika wa 2022 unaelezwa kuwa, umeshuhudia ukiukaji wa haki za binadamu na jinai kubwa zaidi katika historia ya Saudi Arabia.
-
Saudia imeua raia 3,000 wakiwemo Waafrika katika hujuma huko Sa'ada Yemen mwaka 2022
Dec 30, 2022 04:40Afisa wa afya wa Yemen amesema takriban raia 3,000, wakiwemo wakimbizi wa Kiafrika, wamepoteza maisha au kujeruhiwa vibaya mwaka huu kutokana na mashambulizi ya mizinga na makombora ya vikosi vya jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa kaskazini magharibi wa Sa'ada nchini Yemen.
-
Walowezi wa Kizayuni wavunja rekodi katika hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa
Dec 30, 2022 04:28Shirika la Kiislamu linalosimamia masuala ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) linasema kwamba idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wa Israel walivamia eneo hilo takatifu la Kiislamu mwaka 2022.
-
Mfalme wa Jordan aonya: Intifadha mpya ya Wapalestina inanukia
Dec 29, 2022 23:05Mfalme wa Jordan ameonya kuhusiana na hatua za utawala haramu za Israel za kushadidisha mivutano na jinai dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa, jinai hizo huenda zikapelekea kuibuka Intifadha mpya ya Wapalestina.