-
Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu huko Gaza mateka 7 wa kwanza wa Israel
Oct 13, 2025 03:10Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
UNICEF: Watoto 56,000 wamebaki yatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Oct 13, 2025 02:55Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 56,000 katika Ukanda wa Gaza wamebaki mayatima baada ya kupoteza mzazi mmoja au wote wawili katika kipindi cha miaka miwili ya vita vya jeshi la Israel katika uukanda huo.
-
Ansarullah yaipa muda Israel kuhakikisha inatekeleza kikamilifu usitishaji vita Ghaza
Oct 12, 2025 22:57Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameupa utawala wa Kizayuini muda maalumu wa kuhakikisha unaheshimu na kutekeleza makubaliano ya kusimamisha vita vinginevyo Yemen itaanzisha tena operesheni za kijeshi dhidi ya Israel.
-
Waziri wa Vita wa Israel: Tutaharibu mahandaki ya HAMAS baada ya kubadilishana mateka
Oct 12, 2025 22:57Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo dhalimu una mipango ya kuharibu mahandaki na njia za chini ya ardhi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas huko Ghaza baada ya kuachiliwa huru mateka wa Kizayuni.
-
Utawala wa kizayuni wa Israel wafukuzwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki
Oct 12, 2025 08:39Ushiriki wa timu ya taifa ya utawala wa kizayuni wa Israel umefutwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki ya Jakarta Indonesia kulalamikia jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Pakistan yaapa kulipiza kisasi dhidi ya Afghanistan
Oct 12, 2025 07:26Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amelaani kitendo alichokiita ni cha uchokozi kutoka kwa nchi jirani ya Afghanistan.
-
HAMAS: Tony Blair hakaribishwi kuwa na nafasi yoyote katika uongozi wa Ghaza baada ya vita
Oct 12, 2025 02:14Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kwamba Tony Blair hatakaribishwa kuwa na nafasi yoyote ya uendeshaji wa Ghaza kufuatia kuanza kutekelezwa usitishaji vita katika eneo hilo la Palestina.
-
Ripoti: Asilimia 90 ya miundombinu ya Gaza imeharibiwa
Oct 11, 2025 22:53Asilimia 90 ya miundombinu ya Gaza imeharibiwa kabisa baaada ya vita vya miaka miwili vilivyoanzishwa na utawala ghasibu wa Israel.
-
Mgogoro katika Baraza la Mawaziri la Vita: Je, Ben-Gvir ataweza kusambaratisha baraza hilo la Netanyahu?
Oct 11, 2025 22:47Kufuatia kutangazwa makubaliano ya kusimamisha vita na kubadlishana mateka kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Itamar Ben -Gvir Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni ametangaza kupinga vikali makubaliano hayo na kutishia kulimbaratisha baraza la mawaziri la Netanyahu.
-
Maelfu ya Wapalestina waendelea kurejea Gaza baada ya vita kusitishwa
Oct 11, 2025 09:19Maelfu ya raia wa Palestina waliokimbia makazi yao kufuatia mashambulio ya utawala wa kizayuni wa Israel wanaendelea kurejea kaskazini mwa mji wa Gaza kufuatia makubaliano ya usitishaji wa mapigano yaliyofikiwa wiki hii.