-
Mwandishi wa gazeti la kizayuni la Haaretz: HAMAS haijasambaratika na imefikia malengo yake
Oct 11, 2025 05:39Mwandishi mashuhuri wa gazeti la kizayuni la Haaretz Chaim Levinson amesema, japokuwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepoteza hatamu za uongozi wa Ukanda wa Ghaza, lakini imefanikiwa kufikia malengo yake mawili makuu.
-
Chombo cha Kizayuni: Zoezi la kuachiliwa mateka Wapalestina limeanza
Oct 11, 2025 04:34Chombo kimoja cha habari cha Kizayuni kimetangaza kuwa, zoezi la kuachiliwa huru matekani wa Palestina kutoka jela tano za Israel limeanza.
-
Wazayuni wakiri kushindwa kuivunja na kuipokonya silaha HAMAS
Oct 11, 2025 02:07Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimekiri kwamba vita vya Ghaza vimeisha na Hamas imepata mafanikio mengi kiasi kwamba licha ya kupita miaka miwili ya mashambulizi ya kila upande lakini Wazayuni wameshindwa kuivunja harakati hiyo kama ambavyo wameshindwa pia kuipokonya silaha.
-
Yemen: Tutaendelea kuitia adabu Israel kama haitoheshimu usimamishaji vita Ghaza
Oct 11, 2025 02:06Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen walifanya mikutano na maandamano ya nchi nzima kitaifa jana wakielezea kuwa kwao tayari kuendelea kuitandika na kuitia adabu Israel kama haitoheshimu makubaliano ya kusitisha vita na kukomesha jinai zake huko Ghaza.
-
Makundi ya Muqawama ya Palestina yakataa Ghaza kuwa chini ya utawala na usimamizi wa wageni
Oct 10, 2025 23:52Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS pamoja na makundi mengine washirika ya Muqawama wa Palestina yamesisitiza kuwa uamuzi wowote kuhusu utawala wa baadaye wa Ghaza ni "suala la ndani la Palestina" na kupinga vikali eneo hilo kutawaliwa na kusimamiwa na maajinabi.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Utawala wa Kizayuni umetenda jinai za karne Gaza kwa msaada wa Marekani
Oct 10, 2025 08:30Sayyid Abdul Malik Badreddin al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni umefanya jinai za karne huuko Gaza kwa kutumia silaha za Marekani.
-
Vikosi vya Israel vyaanza kuondoka katika baadhi ya maeneo ya Gaza
Oct 10, 2025 08:17Vikosi vya jeshi la utawala haramu wa Israel vimeanza kuondoka katika baadhi ya maeneo Gaza baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka kupasishhwa.
-
Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda
Oct 10, 2025 03:58Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, vyombo vya habari na duru za kisiasa za ndani ya utawala wa kizayuni zimetoa lawama kwa kuashiria matokeo ya vita na kuendelea kubaki thabiti miundo na mihimili ya Muqawama ndani ya Ghaza.
-
Hamas: Israel imechuja orodha ya Wapalestina wanaopasa kuachiwa
Oct 10, 2025 03:25Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema utawala wa Israel unajaribu kuhadaa, kufanyia hila na kuchuja baadhi ya vipengele katika makubaliano ya usitishaji vita.
-
Vipengee muhimu vya makubaliano ya usitishaji vita Gaza
Oct 09, 2025 23:02Utawala unaoukalia kwa mabavu Palestina na Hamas hatimaye wamefikia maelewano juu ya kutekeleza awamu ya kwanza ya usitishaji vita huko Gaza.