-
Nasrullah: Ikiwa Lebanon haitapata haki yake, utawala wa Kizayuni hautaruhusiwa kuchimba mafuta
Jul 20, 2022 03:21Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Lebanon haitaki vita, lakini iwapo haitapata inachostahiki, utawala wa Kizayuni hautaruhusiwa kuchimba mafuta.
-
Idadi kubwa ya watu wa Saudia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel
Jul 19, 2022 22:57Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonesha kuwa, idadi kubwa ya watu wa Saudi Arabia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano baina ya nchi hizo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kukiri wataalamu wa Kizayuni kuwa uwezo wa nyuklia wa Iran hauwezi kuharibiwa kijeshi
Jul 19, 2022 21:47Katika kujibu maneno ya Dakta Kamal Kharrazi Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Iran na Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Sera za Kigeni la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mkuu wa Majeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel amezungumzia kile amekitaja kuwa tishio la Iran na chaguo la kijeshi na kusema chaguo la kijeshi dhidi ya Iran ni jukumu la kimaadili tu.
-
Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi
Jul 19, 2022 04:04Baada ya safari ya Rais Joe Biden wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Saudi Arabia, Rais Vladimir Putin wa Russia leo yuko safarini nchini Iran. Kuna tofauti za wazi kati ya malengo na ajenda za safari ya Biden na Putin katika eneo la Asia Magharibi. Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki pia yuko safarani nchini Iran kwa lengo la mkutano wa pande tatu wa marais wa Iran, Russia na Uturuki.
-
Wanajeshi wa Kizayuni wavamia Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Jul 19, 2022 03:42Wanajeshi wai utawala ghasibu wa Israel wameyavamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan katika kuendeleza uhasama wao dhidi ya raia wa Palestina.
-
UN na jitihada za kuongeza muda wa usitishaji vita huko Yemen
Jul 19, 2022 03:30Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, umoja huo unafanya juhudi ili kuongeza muda wa usitishaji vita huko Yemen.
-
Kumalizika ziara ya makelele mengi ya Biden Magharibi ya Asia na zawadi makhsusi aliyotunukiwa Bin Salman
Jul 18, 2022 21:37Safari ya Rais Joe Biden wa Marekani Magharibi ya Asia imemalizika katika hali ambayo, matunda muhimu iliyozaa ni kufufuliwa nafasi ya Mohammed Bin Salman katika muundo wa madaraka na satua ndani ya Saudi Arabia na katika eneo.
-
Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi
Jul 17, 2022 22:01Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.
-
Biden apingana na waziri wa Saudia kuhusu alichoteta na Bin Salman juu ya mauaji ya Khashoggi
Jul 17, 2022 07:21Rais Joe Biden wa Marekani amedai kuwa waziri mshauri wa mambo ya nje wa wa Saudi Arabia Adel al-Jubeir hajaonyesha uaminifu kwa kauli aliyotoa kuhusu yaliyojiri katika mkutano wa rais huyo wa Marekani na mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman.
-
Hizbullah yatoa msimamo kwa hatua ya Saudia kuifungulia Israel anga yake
Jul 17, 2022 06:28Hizbullah ya Lebanon imesema, hatua ya Saudi Arabia ya kuufungulia utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mipaka ya anga yake ni sawa na kuwa mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala huo na ni usaliti kwa umma wa Kiislamu.