-
Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) katika siasa za kigeni za serikali ya Biden
Jul 14, 2022 03:55Rais Joe Biden wa Marekani aliwasili Jumatano katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel ikiwa ni sehemu ya kwanza ya safari yake katika eneo la Asia Magharibi ambapo anatazamiwa pia kuitembelea Saudi Arabia hivi karibuni.
-
Vyama vya siasa Misri vyapinga kuanzishwa muungano wa aina yoyote kati ya Waarabu na Israel
Jul 14, 2022 03:12Vyama kadhaa vya siasa nchini Misri vimetangaza kuwa vinapinga kuanzishwa aina yoyote ya muungano wa kijeshi kati ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua kama hiyo itahatarisha amani na usalama wa kimataifa.
-
Nasrullah: Moja ya matunda ya Muqawama yalikuwa ni kusambaratisha mpango wa Mashariki ya Kati Mpya
Jul 13, 2022 22:47Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, mojawapo ya matunda muhimu zaidi ya mhimili wa Muqawama yalikuwa ni kuuzima mpango wa Marekani wa kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya.
-
Hamas: Safari ya Biden Asia Magharibi ni dhihirisho la uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv
Jul 13, 2022 22:47Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja safari ya Rais Joe Biden wa Marekanii katika eneo la Mashariaki ya Kati kuwa ni kielelezo cha kivitendo cha uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv na imeonya kuhusu hatari ya safari hiyo kwa eneo hilo na mapambano ya Palestina.
-
Balozi wa Saudia ashukiwa kuhusika na mauaji ya mpinzani wa nchi hiyo aliyeuliwa Lebanon
Jul 13, 2022 04:58Duru za kuaminika zimeripoti kuwa balozi wa Saudi Arabia nchini Lebanon amehusika katika mauaji ya kutatanisha ya mwanaharakati mmoja mpinzani wa utawala wa Aal Saud yaliyotokea nchini Lebanon.
-
Wapalestina watoa wito wa kufanyika maandamano makubwa kulaani safari ya kikanda ya Biden
Jul 13, 2022 02:52Wanaharakati wa Kipalestina wametoa wito wa kufanyika maandamano makubwa kulaani ziara ya Rais wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Sababu za umuhimu wa safari ya Biden kwa Saudi Arabia
Jul 12, 2022 21:52Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kuanza safari yake Asia Magharibi leo Julai 13 na safari hiyo inatazamiwa kumalizikia Saudia mnamo Julai 16.
-
Hamas: Kuchomwa wakiwa hai wanajeshi wa Misri na utawala wa Israel kunadhihirisha dhati ya ukatili
Jul 12, 2022 06:27Ikitoa radiamali yake kwa habari kuhusu kuchomwa wakiwa hai makumi ya wanajeshi wa Misri katika vita vya mwaka 1967; Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) imesema kitendo hicho kinadhihirisha dhati ya ukatili na kutenda jinai ya utawala wa Kizayuni.
-
Ndege maalumu ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad yatua Riyadh, Saudi Arabia
Jul 11, 2022 22:50Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, ndege maalumu ya shirika la ujasusi la utawala huo Mossad imetua katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Shambulio la Saudia nchini Yemen laua na kujeruhi mamia ya watu
Jul 11, 2022 06:47Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia kwa mara nyingine umekiuka makubaliano ya usitishaji wa Umoja wa Mataifa, na kuua na kujeruhi mamia ya raia wa Yemen katika shambulio jipya, kaskazini mwa nchi.