-
Israel: Tumo mbioni kufanikisha mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudia
May 31, 2022 03:02Waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa Tel Aviv inaendeleza mashauriano na Marekani na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudi Arabia.
-
Afisa usalama wa Saudia akutwa na kilo 18 za vidonge vya kulevya uwanja wa ndege wa Beirut, Lebanon
May 30, 2022 22:41Afisa mmoja wa usalama wa Saudi Arabia amekutwa na kilo 18 za vidonge vya kulevya aina ya captagon katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Beirut, Lebanon.
-
Ansarullah yawapongeza Wapalestina kwa kusimama kidete kuulinda Msikiti wa al Aqsa
May 30, 2022 05:49Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelipongeza taifa la Palestina kwa kusimama kiume kukihami na kukilinda Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa katika siku ya "Maandamano ya Bendera."
-
Taliban: Sisi si Masuni si Mashia, sisi ni Waislamu
May 29, 2022 23:40Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ametoa mwito kwa Waislamu kushikamana na kuwa kitu kimoja akisisitiza kuwa, kundi la Taliban linamuheshimu Imam Jafar al Sadiq AS. Ikumbukwe kuwa Imam Sadiq AS ni Imam wa Sita wa Waislamu wa Kishia na hata fiqhi ya Jaafari ya Waislamu hao inatokana na Imam huyo.
-
Hamas yatuma salamu za hongera kwa kuachiwa huru mwanamapambano wa Kijapani
May 29, 2022 07:46Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS na Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina zimetuma salamu za hongera kwa kuachiwa huru Fusako Shigenobu, mwanamama mtetezi na muungaji mkono wa Palestina ambaye alitumikia kifungo cha miaka 20 katika jela za Japan.
-
Oman yasisitiza msimamo wa kutoanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
May 29, 2022 03:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman siku ya Jumamosi alitangaza kuwa nchi yake haitaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel huku akitoa wito wa kutatuliwa kwa haki suala la Palestina.
-
Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa: "Maandamano ya Bendera" katu hayataingia Masjidul-Aqswa
May 28, 2022 22:55Khatibu wa Masjidul-Aqswa amesema kuwa, uamuzi wa Wazayuni wa kufanya "Maandamano ya Bendera" ni hatua ya kichochezi na amesisitiza juu ya udharura wa kuchukuliwa hatua ya kuwazuia Wazayuni hao kuingia katika msikiti matakatifu wa al-Aqswa.
-
HAMAS: "Maandamano ya Bendera" yasipoghairishwa yamkini tukatoa jibu kwa kombora
May 28, 2022 03:25Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, "ikiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hautaacha uvamizi wake dhidi ya msikiti wa Al Aqsa na hautaghairisha maandamano ya bendera, katika hali hiyo tutafikisha ujumbe wetu kwa kombora."
-
Hatua muhimu mno ya kiistratijia ya Bunge la Iraq; uhusiano wowote na Israel ni uhalifu
May 28, 2022 02:40Juzi Alkhamisi tarehe 26 Mei, 2022, Bunge la Iraq lilipasisha kwa kauli moja sheria ya kutambua kuwa ni uhalifu, hatua yoyote ya kuweka uhusiano wa kawaida baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Bunge la Iraq lapasisha sheria ya kupiga marufuku kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
May 27, 2022 06:40Bunge la Iraq limepasisha kwa kauli moja sheria ya kupiga marufuku ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.