-
Ndege za kivita za Israel zilituma makombora ya anga za mbali juu ya Saudi Arabia kushambulia Doha
Sep 14, 2025 03:21Utawala wa Israel ulitumia ndege za kivita kurusha makombora katika anga za mbali juu ya anga ya Saudi Arabia katika shambulio lake la hivi karibuni dhidi ya viongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Ukombozi wa Palestina, Hamas, waliokuwa mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Ripoti: Mossad yaahirisha mpango wa hujuma ya nchi kavu dhidi ya Hamas Nchini Qatar
Sep 13, 2025 23:55IQNA – Shirika la ujasusi la Israel, Mossad, limeahirisha mpango wa uvamizi wa nchi kavu uliolenga kuwaua viongozi wa Hamas walioko Qatar, mpango uliokuwa ukifanyiwa kazi katika wiki za hivi karibuni.
-
Jeshi la Israel laua Wapalestina wanne waliokuwa wakitafuta msaada Gaza, njaa yashadidi
Sep 13, 2025 23:13Jeshi la Israel limefyatua risasi dhidi ya kundi la Wapalestina waliokuwa wakitafuta msaada wa kibinadamu huko Gaza, na kuwaua angalau watu wanne, huku hospitali katika eneo hilo lilozingirwa zikiripoti vifo zaidi vinavyotokana na njaa na utapiamlo.
-
Jeshi la Yemen lashambulia maeneo nyeti ya Israel kwa kombora la kasi ya juu la “Palestine-2”
Sep 13, 2025 08:11Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limevurumisha kombora la kasi ya juu au haipasoniki aina ya “Palestine-2” lenye vichwa vingi vya mlipuko dhidi ya maeneo nyeti ndani ya Tel Aviv, katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu yaani 'Israel'.
-
Je, dunia mara hii ina nia ya kufanikisha kuasisiwa nchi huru ya Palestina?
Sep 13, 2025 07:52Katika hatua ya kihistoria, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lililopendekezwa na Ufaransa na Saudi Arabia, na kutangaza kuunga mkono kuanzishwa kwa nchi huru la Palestina na kutekelezwa njia ya ufumbuzi wa serikali mbili.
-
UNICEF: Mtoto mmoja kati ya watano wa Kipalestina ana utapiamlo
Sep 13, 2025 03:40Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, hali ya watoto wa Kipalestina hususan katika Ukanda wa Gaza ni mbaya mno na kwamba, mtoto mmoja kati ya watano wa Kipalestina ana utapiamlo.
-
Lavrov: Lengo la Israel ni kudhoofisha uwezekano wa kuundwa taifa huru la Palestina
Sep 13, 2025 03:39Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesisitiza kwamba, hatua za utawala wa Kizayuni zinaonyesha njama zake za kudhoofisha mkakati wa kuundwa "Nchi ya Palestina".
-
Netanyahu aapa hakutakuwa na Dola la Palestina, asisitiza ardhi yote ni milki ya wazayuni
Sep 12, 2025 06:58Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwa, hakutakuwa na dola la Palestina, na kusisitiza kwamba ardhi zote za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu ni milki ya wazayuni.
-
Hamas: Hakuna shaka Marekani imehusika na shambulio la Doha
Sep 12, 2025 03:27Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali ushirikiano wa Marekani na Israel katika shambulizi la anga dhidi ya Qatar na jaribio la mauaji dhidi ya viongozi wa kundi hilo hilo la kupigania ukombozi wa Palestina, ikisisitiza kuwa Washington na Tel Aviv zinataka kusambaratisha mazungumzo ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Kikao cha dharura cha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kufanyika Qatar kujadili mashambulio ya Israel
Sep 11, 2025 23:51Mji mkuu wa Qatar Doha utakuwa mwenyeji wa mkutano wa dharura wa kilele wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Jumapili na Jumatatu ijayo kuchunguza mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu yaliyolenga makao ya viongozi wa HAMAS.