-
Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu: Wafanyakazi wetu wanalala njaa Gaza ili kuokoa wengine
Aug 31, 2025 23:13Baada ya taasisi iliyo chini ya Umoja wa Mataifa ya Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC) kuthibitisha rasmi kwamba watu wa Gaza wanasumbuliwa na balaa la njaa la kutwishwa na Israel, Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) limeonya kuwa utapiamlo miongoni mwa wafanyakazi wa misaada wa mashirika ya kibinadamu unatishia kuendelea kwa kazi ya kibinadamu katika ukanda huo.
-
Israel yakiri kuuawa wanajeshi wake 900 tangu ianzishe mauaji ya kimbari ya Gaza
Aug 31, 2025 08:28Jeshi la Israel limethibitisha kwamba tangu lianzishe mauaji ya kimbari dhidi ya Gaza mnamo Oktoba 7, 2023, jumla ya wanajeshi wake 900 wameuawa na wengine 6,210 wamejeruhiwa.
-
Israel yakiuka tena mapatano ya usitishaji vita Lebanon, yadondosha mabomu eneo la kusini
Aug 31, 2025 08:10Utawala dhalimu wa Israel umeshadidisha mashambulizi yake ya anga kusini mwa Lebanon, ikiipiga mabomu milima ya Ali al-Taher na al-Dabsha, pamoja na maeneo ya jirani ya Nabatieh al-Fawqa na Kfar Tibnit.
-
Harakati za muqawama zalaani mauaji ya maafisa wa Yemen yaliyofanywa na Israel; zaahidi kuendeleza mapambano
Aug 31, 2025 03:59Harakati za muqawama zimetoa taarifa kali tofauti za rambirambi na kulaani mauaji ya maafisa tisa wa ngazi ya juu wa Yemen yaliyofanywa na utawala wa Israel.
-
Biashara ya umwagaji damu za watoto na namna mauaji ya kimbari ya Ghaza yanavyoipatia faida nono Lockheed Martin ya US
Aug 31, 2025 03:43Kampuni ya Lockheed Martin ni moja ya waundaji wakubwa zaidi wa silaha na zana za kijeshi duniani na inahesabiwa kuwa miongoni mwa taasisi kubwa zaidi katika sekta ya kijeshi na viwanda nchini Marekani.
-
Yemen yawaonya Wazayuni: Siku za giza zinakuwajihini, hamtaonja tena ladha ya usalama
Aug 30, 2025 23:18Rais wa Yemen ameuonya utawala wa Israel kuhusu uhakika wa serikali ya Sana'a kulipiza kisasi cha mauaji ya hivi karibuni yaliyofanywa na Tel Aviv dhidi ya waziri mkuu wa taifa hilo la Peninsula ya Kiarabu, pamoja na maafisa wengine wanane.
-
Hamas yaipongeza Uturuki kwa kufunga anga yake kwa ndege za Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Aug 30, 2025 09:16Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza uamuzi wa Uturuki wa kufunga anga yake kwa ndege za Israel na kukata mahusiano yote ya kibiashara na Tel Aviv.
-
Mapigano makali yaripotiwa Mji wa Ghaza, askari 12 wa Israel waripotiwa kuuawa na kujeruhiwa, wanne watoweka
Aug 30, 2025 02:24Chaneli ya i24 ya utawala wa kizayuni wa Israel imeripoti kujiri mapigano makali kwenye viunga vya Mji wa Ghaza kati ya wanamuqawama wa Palestina na askari wa utawala huo ghasibu wakati askari hao wanajaribu kuuteka mji huo kupitia mashambulizi ya anga na mizinga mikubwa.
-
Mkuu wa Jeshi la Lebanon apinga kupokonywa silaha wapiganaji wa Hizbullah
Aug 30, 2025 00:23Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon ametishia kujiuzulu kutokana na mpango wa kuipokonya silaha harakati ya Hizbullah.
-
Hamas: Wito wa Smotrich wa kuwaua watu wa Gaza kwa njaa na kiu ni kukiri mauaji ya kimbari
Aug 29, 2025 23:14Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, wito uliotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel mwenye itikadi kali, Bezalel Smotrich, wa kukata maji, umeme na usambazaji wa chakula katika Ukanda wa Gaza ni kukiri wazi sera za utawala huo vamizi za kutenda mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.