-
HRW: Jeshi la Cameroon limehusika katika matukio ya mateso na mauaji dhidi ya raia
Feb 27, 2021 23:51Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Right Watch (HRW) limetangaza kuwa, wanajeshi wa Cameroon wamehusika katika matukio ya mateso na mauaji dhidi ya raia katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Umoja wa Mataifa wataka bin Salman awekewe vikwazo kutokana na kuhusika na mauaji ya Khashoggi
Feb 27, 2021 23:49Ripota maalum wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuwekewa vikwazo Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutokana na kuhusika kwake katika mauaji ya Jamal Khashoggi aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa utawala huo wa kifamilia.
-
Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds
Feb 27, 2021 08:37Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.
-
Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani
Feb 27, 2021 08:33Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.
-
Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden
Feb 27, 2021 05:37Mwaka 2014 Marekani ilituma majeshi yake kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na majeshi hayo yamebakia nchini humo hadi sasa licha ya wito wa mara kwa mara wa serikali ya Damascus wa kutaka kuondoka majeshi hayo vamizi katika ardhi yake.
-
Jihadul-Islami ya Palestina: Hatutashiriki uchaguzi wa bunge
Feb 27, 2021 03:50Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, katika kuhakikisha inakwenda sambamba na msimamo wake wa kisiasa, harakati hiyo haitashiriki katika uchaguzi wa bunge la Palestina.
-
Makundi ya kutetea haki za binadamu yataka kufuatiliwa jinai za kivita za Israel
Feb 26, 2021 23:20Wawakilishi wa makundi ya kutetea haki za binadamu yamemtakak Rais wa Marekani afute vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Washingtoin dhidi ya wendesha mashtaka wa Mahakkama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kushughulikia jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel
Feb 26, 2021 23:15Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
-
Marekani yashambulia makundi yanayopambana na ugaidi mpakani mwa Iraq na Syria
Feb 26, 2021 04:30Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
-
Saudia yaongeza kasi ya kutangaza uhusiano wa kawaida na Wazayuni
Feb 25, 2021 23:21Chombo kimoja cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimefichua kuwa viongozi wa Saudi Arabia wameongeza kasi ya kuharakisha kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni kwani wanahofia misimamo ya kisiasa ya serikali ya hivi sasa Marekani.