-
Wasia wa ripota Mpalestina aliyeuliwa kigaidi na Israel kwa walimwengu: 'Msiisahau Ghaza'
Aug 11, 2025 07:19Anas al-Sharif, ripota mashuhuri wa chaneli ya Al Jazeera aliyeuliwa shahidi pamoja na wenzake wanne katika shambulio la makusudi lililofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel kwenye hema la waandishi wa habari katika Mji wa Ghaza, amewaomba walimwengu katika wasia wake wasiisahau Ghaza iliyowekewa mzingiro pamoja na watu wa Palestina.
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yalaani mauaji ya Israel dhidi ya waandishi wa habari
Aug 11, 2025 04:16Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamelaami vikali mauaji ya halaiki yaliyofanywa na Israel dhidi ya waandishi habari na wapiga picha kadhaa katika Ukanda wa Gaza.
-
Al-Azhar ya Misri: Kukaliwa kwa mabavu Gaza ni doa jeusi kwenye paji la uso wa jamii ya kimataifa
Aug 10, 2025 23:13Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa, kukaliwa kwa Gaza ni doa jeusi kwenye paji la uso la jamiii ya kimataifa.
-
Indonesia: Mataifa ya dunia yanapaswa kuitambua rasmi Palestina
Aug 10, 2025 23:11Indonesia imelaani mpango wa utawala wa Israel wa kuikalia kwa mabavu Gaza na kuzitaka nchi zote kulitambua taifa huru la Palestina.
-
Simulizi ya daktari Mmarekani aliyerejea kutoka Gaza; mauaji makubwa ya kimbari yanajiri katika eneo hilo
Aug 10, 2025 05:23Mark Browner, daktari wa Marekani aliyerejea hivi karibuni kutoka Ukanda wa Gaza, amesema katika taarifa yake kwamba mauaji makubwa ya kimbari yanatokea katika eneo hilo na kwamba watu wengi wameaga dunia kwa njaa hivi karibuni katika eneo hilo.
-
Albanese: Tutakomesha mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Wapalestina
Aug 10, 2025 05:22Francesca Albanese Ripota wa Umoja wa Mataifa amesisitiza dhamira yake na ya watu wengine wenye dhamira kama hiyo juu ya kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa huko Gaza na utawala wa Israel. Albanese ameulaani utawala wa Israel na kuutaja kuwa unawafanyia udikteta wananchi wa Palestina.
-
Witkoff na Waziri Mkuu wa Qatar wajadili masuala wanayohitilafiana Hamas na Israel
Aug 10, 2025 05:21Gazeti la Israel Hayom limeandika kuwa: Mjumbe Maalumu wa Marekani Steve Witkoff na Waziri Mkuu wa Qatar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mohammed bin Abdulrahman Al Thani wamekutana na kujadili huko Uhispania njia za kutatua hitilafu zilizopo kati ya harakati ya Hamas na utawala wa Israel.
-
Kamishna wa EU atahadharisha kuhusu mpango wa Israel wa kupanua mashambulizi yake huko Gaza
Aug 10, 2025 05:20Hadja Lahbib Kamishna wa Umoja wa Ulaya anayehusika na masuala ya usawa, maandalizi na ufuatiliaji wa migogoro ameeleza kuwa uamuzi wa utawala wa Israel wa kupanua mashambulizi yake ya kijeshi huko Gaza utashadidisha zaidi hali ya kibinadamu katika eneo hilo na kuhatarisha maisha ya mateka waliosalia.
-
Mpango wa kuipokonya silaha Hizbullah, kosa la kimkakati kwa serikali ya Lebanon
Aug 10, 2025 04:47Waziri wa Habari wa Lebanon, Paul Morcos amesisitiza katika hotuba yake kwamba: "Baraza la mawaziri la serikali limeidhinisha kubakisha silaha mikononi mwa majeshi ya serikali tu na kutumwa jeshi kusini mwa nchi."
-
Oman yalaani uamuzi wa Israel wa kuikalia kwa mabavu Gaza
Aug 09, 2025 23:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Oman imelaani uamuzi wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza.