-
Je, ni hatua gani ya hivi majuzi ya rais wa Colombia dhidi ya Israel?
Jul 29, 2025 23:11Rais wa Colombia Gustavo Petro hivi karibuni alitoa amri ya kuzuia mauzo ya makaa ya mawe ya nchi hiyo kwa utawala wa Israel.
-
Gaidi jijini New York auwa watu 4, wakiwemo afisa wa polisi Mwislamu
Jul 29, 2025 07:54Gaidi alieykuwa na silaha alifyatua risasi ndani ya jengo refu la kifahari jijini Manhattan, New York, na kuua watu wanne, akiwemo afisa wa polisi Mwislamu mwenye asili ya Bangladesh kabla ya kujitoa uhai.
-
Katibu Mkuu wa UN: Suluhisho la mataifa mawili liko hatarini, zinatakiwa hatua za haraka
Jul 29, 2025 03:30Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa indhari kali akisema, suluhisho la mataifa mawili ya Palestina na Israel “liko mbali zaidi sasa hivi kuliko wakati wowote” na kwamba dunia imefikia “kiwango cha kukata tamaa” ya kufanikisha lengo hilo.
-
Korea Kaskazini: Lazima US ikubali sisi ni dola la nyuklia, kutupokonya silaha ni 'dhihaka'
Jul 29, 2025 03:29Kim Yo Jong, dada wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameitaka Marekani ikubali hali "isiyoweza kutenduliwa" ya nchi hiyo kuwa taifa linalomiliki silaha za nyuklia, na kuonya kwamba mazungumzo hayataweza kamwe kupelekea kufutwa uwezo wake wa nyuklia.
-
Katibu Mkuu wa UN ataka jamii ya kimataifa ipinge matumizi ya njaa kama silaha ya vita
Jul 28, 2025 23:17Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka jamii ya kimataifa ipinge matumizi ya njaa kama silaha ya vita.
-
Mmarekani aliyemuua mtoto wa Kipalestina afariki dunia gerezani
Jul 28, 2025 23:11Mwenye nyumba huko Illinois aliyepatikana na hatia ya kumuua mtoto wa mpangaji wake Mmarekani mwenye asili ya Palestina amefariki dunia akiwa kizuizini.
-
Thailand na Cambodia zasitishaji mapigano 'bila masharti'
Jul 28, 2025 23:02Thailand na Cambodia zimekubaliana kusitisha mapigano "bila masharti" kuanzia jana Jumatatu usiku wa manane.
-
Uholanzi yatangaza Israel kuwa tishio la usalama
Jul 28, 2025 09:42Uholanzi, kupitia Ofisi ya Kuratibu Usalama na Kukabiliana na Ugaidi (NCTV), imetangaza kwa mara ya kwanza kuwa utawala wa Israel ni tishio la usalama kitaifa, kutokana na kampeni zake za upotoshaji wa taarifa na vitisho dhidi ya taasisi za kimataifa za haki.
-
Wasanii wa Ubelgiji: Hatutaki kulea watoto wetu katika dunia ambamo watu wanauawa kwa njaa
Jul 28, 2025 03:52Jumuiya ya wasanii na utamaduni ya Ubelgiji imelaani hatua ya Israael ya kuendelea kutumia njaa kama siilaha ya vita dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Mamia ya makuhani wa Kiyahudi waitaka Israel kuacha kuua raia wa Palestina kwa njaa
Jul 28, 2025 03:51Mamia ya makuhani wa Kiyahudi kutoka sehemu mbalimbali za dunia wametia saini barua ya kuitaka Israel iache kutumia njaa kama silaha ya vita.