-
Mapitio ya jinai za Magharibi na Marekani katika kipindi cha miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan
Oct 07, 2025 23:11Moja ya jinai muhimu zaidi zilizofanywa na Marekani katika karne ya 21 ni kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa miaka 20 na uhalifu wake nchini humo.
-
Uhispania kuiburuza Israel ICC kwa kunyanyasa wanaharakati wa msafara wa Sumud
Oct 07, 2025 07:47Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uhispania, Fernando Grande-Marlaska amesema kuwa, hatua za kisheria huenda zikachukuliwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya Israel baada ya utawala wa Kizayuni kuvamia raia wa Uhispania waliokuwemo kwenye msafara wa Sumud au Global Sumud Flotilla uliokuwa unajaribu kuwafikishia msaada wananchi wa Ghaza.
-
Kilichopelekea maandamano ya kuipinga Israel katika nchi za Ulaya kugeuka kuwa vuguvugu kubwa la umma barani humo
Oct 07, 2025 01:02Maandamano makubwa ya wananchi wa mataifa ya Ulaya dhidi ya sera za utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza yangali yanaendelea.
-
Maelfu waandamana Amsterdam wakihimiza hatua kali dhidi ya Israel
Oct 07, 2025 00:56Maelfu ya wancnhi wa Uholanzi walikuwa wamevaa mavazi mekundu wameandamana mjini Amsterdam wakiitaka serikali ya Uholanzi kuchukua hatua madhubuti zaidi na kali zaidi dhidi ya Israel na kusaidia kumaliza vita vilivyodumu kwa takriban miaka miwili sasa huko Ghaza, Palestina.
-
Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Sebastien Lecornu ajiuzulu
Oct 06, 2025 08:02Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekubali kujiuzulu Waziri Mkuu aliyemteua hivi karibuni baada ya kukosolewa kuhusu safu ya baraza lake la mawaziri.
-
Trump amhutubu Netanyahu; Daima una misimamo hasi
Oct 06, 2025 03:58Rais wa Marekani, Donald Trump amemkemea vikali Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa radimali yake hasi kwa jibu 'chanya' la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas kwa pendekezo la makubaliano ya kusitisha mapigano, ripoti imefichua.
-
Kwa nini China inaamini kujitoa Marekani katika JCPOA ndio chanzo cha mgogoro wa sasa kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran?
Oct 06, 2025 02:43China imetangaza kuwa, kujitoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ndio chanzo cha mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa kuhusiana na kadhia ya nyuklia ya Iran.
-
Ripoti: Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa aliyekuwa waziri mkuu wa Italia Aldo Moro
Oct 05, 2025 22:53Ripoti mpya ya uchunguzi iliyotolewa inaonyesha kuwa shirika la ujasusi la utawala wa kizayuni wa Israel, Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Aldo Moro mwaka 1978, na hivyo kudhihirisha ushawishi mkubwa iliokuwa nao Israel wakati katika uga wa siasa za Italia, ikiwa ni pamoja na kufuatia uhusiano wa Moro na makundi ya Muqawama ya Palestina.
-
Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani
Oct 05, 2025 22:52Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora aina ya Tomahawk ili kufanyia mashambulio ya masafa marefu ndani ya Russia, hatua hiyo itapelekea kuvurugika husiano wa Moscow na Washington.
-
Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?
Oct 05, 2025 22:48Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.