-
UNAIDS: Kupunguzwa misaada ya kigeni kumeua watu na kuwaacha mamilioni bila dawa
Nov 26, 2025 22:56Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, juhudi za kimataifa za kupambana na ukimwi zimepitia hali ngumu kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili kimataifa.
-
Je, Marekani ni nchi ya demokrasia au Jamhuri ya Mabilionea?
Nov 26, 2025 22:54Ingawa karne moja iliyopita, ni asilimia 0.25 tu ya fedha za uchaguzi wa Marekani ndizo zilizotoka mifukoni mwa watu 100 matajiri zaidi wa nchi hiyo, lakini leo, dola moja kati ya kila dola 13 za chaguzi za serikali ya shirikisho hutoka moja kwa moja kwa mabilionea, jambo ambalo Washington Post imesema kuwa ni kuhodhiwa siasa za Marekani na mabilionea.
-
Mahakama ya EU yaiamuru nchi mwanachama itambue 'ndoa' za jinsia moja
Nov 26, 2025 07:20Mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Ulaya imetoa hukumu kwamba Poland inalazimika kuzitambua ndoa za jinsia moja zilizosajiliwa katika nchi zingine wanachama wa umoja huo japokuwa mahusiano kama hayo yako kinyume cha sheria kulingana na sheria za kitaifa za nchi hiyo.
-
Cuba: Marekani inaishinikiza Venezuela ili kuitwaa ardhi ya nchi hiyo
Nov 26, 2025 03:41Bruno Rodriguez Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Marekani inatumia uzushi kuhalalisha operesheni zake za kijeshi dhidi ya Venezuela, kwa lengo la kuiangusha serikali ya nchi hiyo na kudhibiti rasilimali za mafuta za nchi hiyo.
-
Caracas yamhutubu waziri wa Israel: Jina Venezuela ni kubwa, haliwezi kutamkwa na kinywa chako kichafu
Nov 25, 2025 23:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ametumia lugha kali kujibu tuhuma za waziri wa mambo ya nje wa utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Caracas, kwa kumwita waziri huyo "mhalifu wa kivita" ambaye iwe sasa hivi au baadaye lazima akawajibishwe mbele ya vyombo vya haki na sheria vya kimataifa.
-
Katibu Mkuu wa UN atoa indhari kali: Dunia inabadilika kwa kiwango cha kutisha
Nov 25, 2025 23:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali katika hotuba yake kwa Mkutano wa Saba wa Pamoja wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya unaofanyika mjini Luanda Angola akisema, dunia inapitia mabadiliko ya kasi na ya kina, yanayochochewa na janga la tabianchi, kuongezeka kwa ukosefu wa usawa na misisimko ya nguvu za kimataifa.
-
Afghanistan: Shambulio la Pakistan limeua watoto tisa na mwanamke mmoja mkoani Khost
Nov 25, 2025 23:30Msemaji wa serikali ya muda ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban Zabihullah Mujahid, amesema watoto tisa na mwanamke mmoja wameuawa baada ya vikosi vya jeshi la Pakistan kushambulia nyumba moja katika jimbo la Khost kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kwa nini Ulaya imechukua mkondo wa sera kali dhidi ya wakimbizi?
Nov 25, 2025 23:06Ujerumani inataka kuweka sheria kali zaidi dhidi ya wakimbizi na wahamiaji, na inapanga kufukuza nchini humo idadi kubwa ya wakimbizi.
-
Trump asaini dikri dhidi ya Ikhwanul Muslimeen
Nov 25, 2025 07:44Kwa kutia saini amri ya utendaji dhidi ya Ikhwanul Muslimeen au kwa jina jingine Muslim Brotherhood, Rais Donald Trump wa Marekani ameweka baadhi ya matawi ya kundi hilo la Kiislamu katika orodha ya "mashirika ya kigeni ya kigaidi".
-
Mahmood Mamdani: Israel ni dola la wavamizi, inafanya majaribio ya silaha zake juu ya vichwa vya watu wa Gaza
Nov 25, 2025 07:33Msomi na mwanafikra mashuhuri raia wa Uganda, Mahmood Mamdani, ambaye ni baba wa Muislamu wa kwanza kushinda nafasi ya umeya wa New York huko Marekani, Zohran Kwame Mamdani, ameishutumu Israel kuwa ni "nguvu ya uchokozi ambayo imepoteza hisia zote za maadili," na kwamba hakuna anayeamini kwamba kile inachofanya huko Gaza ni "kujilinda" kama inavyodai.