-
Venezuela: Netanyahu mtenda jinai anaendelea kuhujumu jitihada za amani
Oct 05, 2025 07:19Yván Gil Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amemtaja Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel kama muuaji sugu anayeendelea kuhujumu jitihada za kuhitimisha vita huko Gaza.
-
Kocha wa Manchester City atoa mwito wa kuungwa mkono wakazi wa Gaza
Oct 04, 2025 22:57Kocha wa timu ya soka ya Manchester City ya Uingereza kwa mara nyingine amelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya Gaza na kutoa wito jamii ya kimataifa kuwaunga mkono wananchi wa Ukanda huo ili kumaliza vita na mauaji.
-
Madai mapya ya G7; Kwa nini Wamagharibi wanaendeleza sera zao za undumakuwili mkabala wa Iran?
Oct 04, 2025 07:57Katika kuendelea sera za undumakuwili za kundi la G-7 mkabala wa Iran; kundi hilo limedai kuwa linataka kuendeleza diplomasia mkabala wa kadhia ya nyuklia ya Iran.
-
Putin: Russia ina umuhimu mkubwa sana kwa nidhamu ya kimataifa, njama za kuitenga zimefeli
Oct 03, 2025 23:04Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, mizani ya usawa wa kimataifa haiwezi kujengwa bila ya nchi yake na akaongeza kuwa majaribio ya kuitenga Russia katika miaka ya hivi karibuni yamefeli.
-
Ripoti: Zaidi ya watu 16,000 waliuawa katika ghasia tangu mwaka 2022 nchini Haiti
Oct 03, 2025 22:59Zaidi ya watu 16,000 wameuawa tangu mwaka 2022 huko Haiti, kisiwa kilichokumbwa na ghasia za magenge, Umoja wa Mataifa umesema katika ripoti yake. Aidha Umoja wa Mataifa umeonya ukisema kwamba bila msaada wa kimataifa, "hali mbaya zaidi inaweza kutokea."
-
Mbinu ya ulaghai ya Trump; Je, shambulio dhidi ya Qatar litachukuliwa kuwa tishio la usalama dhidi ya Marekani?
Oct 03, 2025 22:56Trump ametoa amri ya kiutendaji akidai kuwa shambulio lolote katika ardhi ya Qatar litahesabiwa kuwa tishio la usalama kwa Marekani.
-
FIFA iliyoipiga marufuku Russia kwa sababu ya vita vya Ukraine yasema haiwezi kuchukua hatua dhidi ya Israel
Oct 03, 2025 07:04Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino amesema, taasisi hiyo haiwezi kutatua ‘masuala ya kijiopolitiki’, licha ya kuendelea kuandamwa na mashinikizo kimataifa ya kuitaka isimamishe uanachama wa Israel kutokana na vita vya kinyama na mauaji ya kimbari unayoendelea kufanya utawala huo wa kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ghaza, ambayo hadi sasa yameshateketeza roho za watu zaidi ya 65,000, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
-
Russia yakosoa sekretarieti ya UN kwa kupendelea Magharibi kuhusu vikwazo dhidi ya Iran
Oct 02, 2025 23:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, ameikosoa Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kwa kujiingiza katika masuala yaliyo nje ya mamlaka yake kwa kuunga mkono kurejeshwa kwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran, akieleza hatua hiyo kama “mfano halisi wa kupendelea madola ya Magharibi.”
-
Umoja wa Mataifa waidhinisha kikosi kikubwa zaidi kukabiliana na ghasia za Haiti
Oct 02, 2025 08:33Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha kikosi kikubwa zaidi cha usalama cha kimataifa kwa ajili ya Haiti kwa ajili ya kukabiliana na ghasia za magenge zinazoongezeka katika nchi hiyo yenye migogoro.
-
Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani
Oct 02, 2025 06:47Katika siku za hivi karibuni, Rais Gustavo Petro wa Colombia, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani na sera za utawala wake.