-
Marekani yabatilisha viza ya waziri wa zamani wa Afrika Kusini aliyefanikisha kesi ya ICJ dhidi ya Israel
Nov 23, 2025 03:31Marekani imefuta viza ya waziri wa zamani wa Mahusiano ya Kimataifa wa Afrika Kusini Naledi Pandor mapema wiki hii, katika kile kinachoonekana kama hatua za hivi karibuni za Washington za kuiadhibu Pretoria kwa sababu kuuburuza utawala wa kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa mauaji ya kimbari uliyofanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Katika mkutano na Trump, Mamdani azungumzia US inavyofadhili mauaji ya kimbari Ghaza
Nov 23, 2025 03:02Zohran Mamdani, Meya mpya mteule wa Jiji la New York, amezungumzia suala la ufadhili wa Marekani kwa vita vya mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, katika mkutano aliofanya na rais wa Marekani Donald Trump Ikulu ya White House.
-
Ulaya yazungumza na Zelensky kumshawishi asikubali mpango wa Trump
Nov 22, 2025 08:06Duru za habari zimeripoti kuwa, Kansela wa Ujerumani, Rais wa Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana mpango mpya wa amani wa serikali ya Marekani katika kadhia ya Ukraine na kujaribu kumzuia Zelensky asiukubali mpango huo wa Trump.
-
Idadi ya kaya masikini nchini Ujerumani imeongezeka
Nov 22, 2025 03:45Matokeo ya uchunguzi yanaonesha kuwa idadi ya kaya maskini nchini Ujerumani inaongezeka na kukosekana kwa usawa wa kipato kumeongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, na hivyo kusababisha hali ya kutoaminiana katika nyanja za kisiasa.
-
Cuba: Marekani inataka kuivamia kijeshi Venezuela kwa visingizio vya uongo
Nov 22, 2025 03:44Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Cuba amelaani vikali hatua za Marekani za kuhalalisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela.
-
Kwa mnasaba wa Siku ya Mshikamano, Guterres aihimiza dunia izidi kuwaunga mkono Wapalestina
Nov 21, 2025 23:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa kuwepo uungaji mkono mpya kimataifa kwa watu wa Palestina na haki yao ya kujitawala, akisema, mateso ya Palestina yamefikia "viwango ambavyo havijawahi kushuhudiwa" katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Cristiano Ronaldo akosolewa vikali kwa kukutana na Trump White House katika dhifa ya chakula
Nov 21, 2025 23:12Nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo anaandamwa na wimbi la ukosoaji mkali baada ya kushiriki kwenye dhifa ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya ujumbe wa Saudi Arabia.
-
Sababu za Ripota wa UN za kuonya kuhusu kuendelea Ulaya kuipa silaha Israel
Nov 21, 2025 22:54Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuendelea nchi za Ulaya kuisheheneza silaha Israel licha ya kwamba kuna ushahidi wa kutosha na usiopingika wa jinsi utawala wa Kizayuni unavyotumia silaha hizo kufanya jinai na mauaji ya umati dhidi ya watu wasio na hatia.
-
Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia
Nov 21, 2025 05:30Uturuki imekataa ombi la Marekani la kuitaka Ankara isinunue gesi kutoka Russia na kusema kuwa, haiwezi kuacha kununua gesi ya Russia kwa sababu imesaini makubaliano ya gesi na nchi hiyo na itaendelea kuheshimu makubaliano hayo.
-
Iran yalaani azimio la IAEA kuhusu mpango wake wa nyuklia
Nov 21, 2025 04:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali azimio lililopitishwa na Bodi ya Magavana wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), ikilitaja kuwa “batili na lisilo na msingi.”