-
Colombia yawatimua wanadiplomasia wa Israel kwa kuvamiwa msafara wa Sumud, yasema Trump ni wa kufungwa jela
Oct 01, 2025 23:55Colombia imewafukuza wanadiplomasia wa utawala wa kizayuni wa Israel kwa uchokozi uliofanywa na utawala huo ghasibu wa kuuvamia kijeshi msafara wa kimaataifa wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Ghaza kwa ajili ya kufikisha misaada ya kibinadamu; sambamba na hilo, serikali ya Bogota imehimiza rais wa Marekani Donald Trump afungwe jela kwa ushiriki wa Washington katika mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na jeshi la kizayuni katika eneo hilo la ardhi ya Palestina.
-
Uingereza imeipatia Israel zaidi ya risasi 100,000 ndani ya mwezi mmoja wakati wa mauaji ya kimbari Gaza
Oct 01, 2025 23:16Uchunguzi wa hivi karibuni umebaini kuwa Uingereza iliukabidhi utawala katili wa Israel jumla ya risasi 110,000 katika mwezi Agosti, wakati jeshi la Israel likiendelea na vita ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Russia: Hatua ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran haina uhalali, yavunja Mkataba wa UN
Oct 01, 2025 23:16Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Vasily Nebenzya, amesema kuwa hatua ya baadhi ya mataifa ya Magharibi kurejesha vikwazo kupitia utaratibu wa “snapback” dhidi ya Iran haina msingi wa kisheria na inakiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Maduro: Venezuela si ‘koloni’, uchokozi wa Marekani utakabiliwa kwa mshikamano wa kikanda
Oct 01, 2025 23:10Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameonya kuwa shambulio lolote dhidi ya taifa lake litakabiliwa kwa mshikamano wa mataifa ya ukanda, akisisitiza kuwa nchi hiyo katu haiwezi kuwa koloni wala kutawaliwa na nguvu za kigeni.
-
Kinachoifanya Russia ishikilie msimamo kwamba kurejeshwa vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran kunapingana na Mkataba wa UN
Oct 01, 2025 23:09Russia imetangaza kuwa madai ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran hayana msingi wowote na hatua iliyochukuliwa na Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na suala hilo inapingana na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Tetemeko la ardhi laua makumi ya watu nchini Ufilipino
Oct 01, 2025 07:19Tetemeko kubwa la ardhi lilitokea katikati mwa Ufilipino jana Jumanne usiku limeua watu zaidi ya 70 na kujeruhi wengine kadhaa, maafisa wa eneo hilo wamesema hayo leo Jumatano.
-
Rais wa Colombia: Trump anapasa kufungwa jela kwa jinai za Gaza
Oct 01, 2025 07:19Rais wa Colombia, Gustavo Petro amekosoa vikali sera za mwenzake wa Marekani na kusema kuwa, Donald Trump ni mshiriki wa mauaji ya kimbari huko Gaza na anapaswa kufungwa jela.
-
Uingereza iliipa Israel zaidi ya risasi 10,000 mwezi Agosti ili kufanya mauaji ya kimbari Ghaza
Oct 01, 2025 03:00Taarifa kutoka nchini Uingereza zimefichua kuwa, nchi hiyo ya kifalme ya Ulaya iliupa utawala wa Kizayuni risasi 110,000 ndani ya mwezi mmoja tu ili Israel iendelee kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Venezuela kutangaza 'hali ya hatari' iwapo itavamiwa na Marekani
Sep 30, 2025 23:02Serikali ya Venezuela imetangaza kuwa itaamilisha "Dikrii ya Dharura ya Kigeni" ikiwa Marekani itaanzisha mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.
-
Je, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limenasa katika mtego wa kura ya turufu?
Sep 30, 2025 23:02Haki ya kura ya turufu ni mojawapo ya masuala yenye utata kuhusu mamlaka ya wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.