-
Chuo Kikuu cha Harvard: Gen Z wa Marekani wanaifadhilisha Hamas kuliko Israel
Nov 18, 2025 04:19Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa asilimia 60 ya Kizazi kipya, Gen-Z nchini Marekani wanapendelea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina "Hamas" kuliko utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.
-
Muungano wa Oxford: Israel ni tishio kubwa zaidi kwa amani Asia Magharibi
Nov 18, 2025 02:50Muungano wa Oxford umeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi.
-
Baraza la Usalama la UN laidhinisha mpango wa Marekani kuhusu Gaza, Hamas yapinga azimio la UNSC
Nov 18, 2025 02:06Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lililoandaliwa na Marekani la kuanzisha Kikosi cha Kimataifa cha Kurejesha Utulivu (ISF) katika Ukanda wa Gaza.
-
Russia: Hatutaki vita wala mzozo wa kijeshi na NATO
Nov 17, 2025 22:52Msemaji wa serikali ya Russia amepinga taarifa za kuchochea vita zinazoenezwa katika nchi za Ulaya na kwa mara nyingine amesisitiza kwamba Moscow inachukua hatua zinazohitajika kulinda usalama wake lakini haitaki vita wala mzozo wa kijeshi na NATO.
-
Kushadidi ushindani wa silaha za nyuklia kati ya Marekani na Russia na mustakbali wa mkataba wa New START
Nov 17, 2025 22:51Mvutano wa nyuklia kati ya Russia na Marekani umeongezeka kadiri muda wa mkataba wa nyuklia wa New START unavyokaribia kumalizika, na hivyo kuuweka mkataba huo katika mustakbali usiojulikana.
-
Mamdani: Ikiwa Netanyahu atakuja New York katika mkutano ujao wa UNGA nitaamuru akamatwe
Nov 17, 2025 07:19Meya Mteule wa jiji la New York Zohran Kwame Mamdani ameambia televisheni ya ABC News kwamba atatoa hati ya kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu endapo ataingia ndani ya ardhi ya Marekani mwaka ujao kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Mahakama ya ICT Bangladesh yamhukumu adhabu ya kifo waziri mkuu wa zamani Hasina
Nov 17, 2025 07:18Baraza la Mahakama la Jinai za Kimataifa (International Crimes Tribunal), ICT la Bangladesh leo limetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa Waziri Mkuu wa zamani aliyeitoroka nchi Sheikh Hasina, baada ya kumpata na hatia ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu-mbali na makosa mengine-, kwa uhalifu uliofanywa mwaka jana wakati wa maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea ya kupinga serikali yake.
-
Katika kura ya maoni, Waecuador wakataa US kuwa na kituo cha kijeshi tena nchini mwao
Nov 17, 2025 07:17Wananchi wa Ecuador wamekataa pendekezo la kuruhusu kurejeshwa tena nchini humo vituo vya kijeshi vya nchi za kigeni. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya awali ya kura ya maoni, ambapo hesabu za asilimia 90 ya kura zinaonyesha kuwa karibu theluthi mbili ya walioshiriki wamepiga kura ya “hapana” kupinga pendekezo hilo.
-
Silaha za Australia zinatumika katika mauaji ya kimbari Sudan?
Nov 16, 2025 23:18Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), unaoshutumiwa kwa kuunga mkono waasi wa RSF wanaotekeleza ukatili na mauaji ya kimbari Sudan, umeibuka kuwa soko kubwa zaidi la silaha za Australia.
-
Pep Guardiola awataka Wahispania kushikamana na Palestina
Nov 16, 2025 03:39Kocha wa Manchester City Mhispania Pep Guardiola, amewataka wananchi wa Uhispania kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina.