-
Waziri Mkuu wa Uhispania: Nasikitika hatuna bomu la nyuklia tukaizuia Israel isishambulie Ghaza!
Sep 12, 2025 06:58Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez ameendelea kukosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huku akieleza kwa masikitiko kwamba Uhispania haina bomu la nyuklia, manowari ya kubebea ndege za kivita, wala utajiri mkubwa wa mafuta, vitu vitakavyoiwezesha kusimamisha peke yake mashambulizi ya utawala huo dhidi ya Ghaza; lakini hiyo haimaanishi kwamba Madrid itasitisha juhudi zake.
-
Seneta Cruz ataka US ama iitambue Ikhwanul Muslimin kuwa kundi la kigaidi au iwaue wanachama wake
Sep 12, 2025 06:57Ted Cruz, Seneta wa Marekani wa jimbo la Texas kwa tiketi ya chama tawala cha Republican amesema, wakati umewadia kwa Marekani kuitambua harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni shirika la kigaidi, kwa sababu hiyo ndiyo hatua mbadala ya kuwaua wanachama na washirika wa harakati hiyo.
-
Rais wa zamani wa Brazil ahukumiwa kifungo cha miaka 27 jela kwa kuhusika na jaribio la mapinduzi
Sep 12, 2025 06:57Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro amehukumiwa kifungo cha miaka 27 na miezi mitatu jela baada ya jopo la Mahakama Kuu kumpata na hatia ya kufanya jaribio la kuipindua serikali.
-
Bunge la Ulaya lataka kutambuliwa rasmi Palestina Huru
Sep 12, 2025 03:07Bunge la Ulaya limepasisha azimio likielezea wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Ukanda wa Gaza, na kuzitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuliweka suala la kutambuliwa taifa huru la Palestina kwenye ajenda.
-
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lailaani Israel kwa kuishambulia Qatar
Sep 12, 2025 03:06Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulio la Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar, Doha siku ya Jumanne na kutaka kupunguzwa kwa mvutano na taharuki katika eneo.
-
Kansela wa Ujerumani akosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Qatar
Sep 11, 2025 23:49Friedrich Merz Kansela wa Ujerumani, amekosoa vikali mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Doha, Qatar na kutangaza kuwa, Berlin inasubiri matokeo ya mazungumzo na washirika wa Ulaya kuhusu kususia utawala wa Israel.
-
Vifo vya malaria kuongezeka kutokana na kupungua misaada
Sep 11, 2025 23:47Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa malaria huenda vikaongezeka mwaka huu kutokana na kupunguzwa kwa misaada ya kigeni.
-
Maandamano nchini Uingereza yataka kukamatwa Rais wa Israel
Sep 11, 2025 23:47Maandamano makubwa yamefanyika nchini Uingereza ambapo waandamanaji wametoa wito wa kukamatwa Rais wa Israel kwa kutenda jinai huko Palestina.
-
Mwandishi wa Uingereza: Vyombo vya habari vya Magharibi vinapotosha ukweli wa mambo kuhusu njaa huko Gaza
Sep 11, 2025 09:15Mwandishi mmoja wa Kiingereza amekiri kwamba vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinaathiriwa na ushawishi wa utawala katili wa Israei katika kuripoti jinai za utawala huo dhidi ya watu wa Palestina.
-
Polisi yawatia mbaroni watu 295 huku vuguvugu la 'Zuia kila kitu' likiitikisa Ufaransa
Sep 11, 2025 03:49Waandamanaji nchini Ufaransa jana Jumatano walifunga barabara, kuwasha moto na kukabiliana na polisi katika siku ya kwanza ya vuguvugu la harakati ya nchi nzima ya 'Zuia Kila Kitu'.