-
China yapinga jitihada za Troika ya Ulaya za kuamilisha utaratibu wa Snapback dhidi ya Iran
Aug 16, 2025 04:23Serikali ya China imetangaza rasmi kuwa, inapinga jaribio lolote la Uingereza, Ufaransa na Ujerumani la kutaka kuamilisha kile kinachoitwa kama utaratibu wa Snapback Mechanism ni ambao utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran.
-
Microsoft inachunguza teknolojia yake kutumiwa na Israel kuwafanyia ujasusi Wapalestina
Aug 16, 2025 03:48Kampuni ya Microsof imeanza kufanya uchunguzi kuhusiana na taarifa kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel unatumia teknolojia ya kampuni hiyo kwa ajili ya kuwafanyia ujasusi Wapalestina.
-
Uhispania: Mikataba yote na Israel inapaswa kusitishwa
Aug 16, 2025 03:34Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza ulazima wa kusitishwa mikataba yote na kusimamisha biashara na utawala wa Kizayuni ili kukabiliana na "uchumi wa mauaji ya kimbari."
-
Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227
Aug 16, 2025 01:38Helikopta iliyokuwa imebeba vifaa vya misaada imeanguka na kusababisha vifo vya wahudumu watano wakiwemo marubani wawili mkoani Khyber Pakhtunkhwa kaskazini magharibi mwa Pakistani huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mvua kali na mafuriko nchini kote ikifikia 227.
-
Trump na Putin wakutana Alaska bila ya kufikia mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine
Aug 16, 2025 01:37Duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya Rais Vladimir Putin wa Russia na Rais wa Marekani Donald Trump iliyofanyika katika jimbo la Alaska nchini Marekani imemalizika pasi na kufikiwa mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine.
-
Umoja wa Mataifa: Unyanyasaji kijinsia katika maeneo ya mizozo uliongezeka 2024
Aug 15, 2025 22:50Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti iliyotolewa yake kwamba, vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia katika maeneo yenye migogoro kote duniani viliongezeka kwa asilimia 25 mwaka jana (2024).
-
Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?
Aug 15, 2025 22:47Nchi nyingi za Amerika ya Kusini zimekuwa na misimamo ya kukosoa waziwazi mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia kijeshi Gaza. Bila shaka, baadhi ya nchi, kama vile Argentina, zimechukua msimamo tofauti wa kuiunga mkono Tel Aviv.
-
Mazungumzo ya mkataba wa plastiki yakabiliwa na mkwamo
Aug 15, 2025 07:40Mazungumzo ya mjini Geneva Uswisi ya kutafuta mkataba wa kwanza duniani kisheria ambao utashughulikia uchafuzi wa plastiki, yamelazimika kusogezwa mbele baada ya kufikia muda wa mwisho bila maelewano.
-
Mamia waandamana Barcelona kupinga mauaji ya kimbari ya Israel Gaza
Aug 15, 2025 07:13Mamia ya Wahispania wameandamana mjini Barcelona kupinga vita vya mauaji ya halaiki vya utawala wa Israel dhidi ya Gaza.
-
Umoja wa Ulaya: Israel lazima ikomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi
Aug 15, 2025 07:05Katika kukabiliana na mpango wa Israel wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi, Umoja wa Ulaya umesisitiza kwamba sera hiyo, ikiwa ni pamoja na kubomoa, kuhamisha kwa lazima, kufukuzwa, na kunyang'anywa nyumba, lazima ikome.