Uchambuzi
  • Njama mpya za Marekani za kushadidisha vita vya Ukraine

    Njama mpya za Marekani za kushadidisha vita vya Ukraine

    Sep 13, 2023 22:53

    Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa, serikali ya Joe Biden imekaribia kupasisha muswada wa kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba mabomu ya vishada.

  • Kushadidi ugomvi kati ya wapinzani na waungaji mkono wa marekebisho ya mahakama za Kizayuni

    Kushadidi ugomvi kati ya wapinzani na waungaji mkono wa marekebisho ya mahakama za Kizayuni

    Sep 13, 2023 10:45

    Mahakama ya Juu ya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne ilifanyika kikao cha kuchunguza malalamiko yanayotolewa dhidi ya kipengee cha muswada wa mageuzi ya mahakama ambao baraza la mawaziri la Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu, linakusudia kuidhinisha vifungu vyake vyote katika bunge la Israel (Knesset).

  • Ziara ya Di Maio mjini Tehran na sisitizo la Ulaya ya kuamiliana vizuri na Iran

    Ziara ya Di Maio mjini Tehran na sisitizo la Ulaya ya kuamiliana vizuri na Iran

    Sep 13, 2023 03:45

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Ghuba ya Uajemi ameonana na Waziri wa Mambo ya Nje na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu hapa mjini Tehran na kutilia mkazo nafasi ya Iran katika kulinda usalama wa eneo hili akisema kuwa, nchi za Ulaya zinalipokea vyema suala la kuamiliana vizuri na Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mpango wa Marekani: Kuanzisha mgogoro nchini Iran

    Mpango wa Marekani: Kuanzisha mgogoro nchini Iran

    Sep 12, 2023 22:57

    Baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran mwaka 1979 na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iran, Marekani ilichukua nafasi ya kiongozi wa kambi ya Magharibi ambayo siku zote imekuwa ikijaribu kuchukua nafasi ya hegemonia (mamlaka ya kutoa amri) katika eneo la Asia Magharibi.

  • Kupungua umaarufu wa Netanyahu na tishio la kuuawa wajumbe wa Mahakama ya Juu ya Israel

    Kupungua umaarufu wa Netanyahu na tishio la kuuawa wajumbe wa Mahakama ya Juu ya Israel

    Sep 12, 2023 09:02

    Matokeo ya uchunguzi wa hivi karibuni zaidi wa maoni uliofanywa na vyombo vya habari vya Kizayuni yanaonyesha kuwa, asilimia 75 ya Wazayuni hawaridhishwi na utendaji kazi wa Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni na baraza lake la mawaziri.

  • Kuongezeka mpasuko katika G20

    Kuongezeka mpasuko katika G20

    Sep 11, 2023 22:56

    Wakati Marekani inajaribu kueneza fikra kwamba kundi la G20 ni mojawapo ya mashirika ya kimataifa yenye mpangilio bora zaidi ambako Washington inaweza kutumia ushawishi wake kuongoza shughuli zake, malengo na mipango yake, lakini mkutano wa G20 huko nchini India na upinzani wa China dhidi ya kufanyika mkutano wa 2026 nchini Marekani vinaonyesha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko katika G20.

  • Ulimwengu baada ya Septemba 11, 2001

    Ulimwengu baada ya Septemba 11, 2001

    Sep 11, 2023 07:26

    Miaka 22 imepita tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika miji ya New York na Washington, tukio ambalo liliathiri sio Marekani pekee, bali karibu dunia nzima.

  • Kuendelea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na siasa za kindumakuwili za Magharibi

    Kuendelea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na siasa za kindumakuwili za Magharibi

    Sep 10, 2023 22:57

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani amezungumzia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nje ya ubalozi mdogo wa Uturuki mjini New York na kubainisha kwamba, kudharau vitabu vitakatifu ni jambo la kuchukiza.

  • Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Sep 10, 2023 01:10

    Sambamba na kupanuka uhusiano wa Venezuela na China, Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amewasili China kwa lengo la kuongeza uhusiano wa pande mbili, kuimarisha ushirikiano na kusaidia kuanzisha mfumo mpya wa dunia.