-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Mchezo wa kamari wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel utashindwa
Oct 03, 2023 22:58Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mchezo wa kamari wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni mithili ya kubeti juu ya farasi asiyeshinda katika mashindano, kwa sababu leo hii harakati ya Wapalestina iko hai na ina utayari zaidi kuliko wakati mwingine wowote, na utawala wa Kizayuni unaelekea katika kifo.
-
Umoja wa Kiislamu maandalizi ya kuhuisha adhama ya ustaarabu wa Kiislamu
Oct 03, 2023 09:55Mkutano wa 37 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umefanyika hapa mjini Tehran. Kama ilivyo ada, mkutano wa kila mwaka wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umefanyika hapa Tehran kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja sambamba na Maulidi ya Mtume (saww).
-
Kutoka mapambano ya silaha katika Ukingo wa Magharibi hadi kuanza tena maandamano ya haki ya kurejea wakimbizi huko Gaza.
Oct 02, 2023 23:13Ikiwa ni katika muendelezo wa walowezi wa Kizayuni kuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqswa, siku ya Jumapili asubuhi walowezi hao walifanya vitendo vya uchochezi katika eneo hilo takatifu kwa kuingia humo kinyume cha sheria, ambapo walowezi wa mrengo wa kulia waliimba na kucheza densi kwenye lango la msikiti huo mtukufu.
-
Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria
Oct 02, 2023 07:35Ankara imetangaza kwa mara nyingine kuwa serikali ya Uturuki itaanzisha tena mazungumzo yake na Iran na Russia kwa lengo la kuboresha uhusiano na Syria.
-
Kutoka muqawama wa silaha katika Ukingo wa Magharibi hadi kuanza tena kwa maandamano ya haki ya kurejea wakimbizi huko Gaza
Oct 02, 2023 04:26Katika muendelezo wa vitendo vya walowezi wa Kizayuni vya kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqswa katika siku chache zilizopita kwa kisingizio cha sikukuu za Kiyahudi, Jumapili asubuhi ya jana, watu hao walifanya vitendo vya uchochezi katika eneo hili takatifu baada ya kuingia humo kinyume cha sheria. Walowezi wa Kizayuni wa mrengo wa kulia walianza kucheza, kurukaruka huku wakiimba kwenye lango la Msikiti wa Al-Aqsa.
-
Ombi la Qatar kwa Umoja wa Mataifa la kujiunga utawala wa Kizayuni wa Israel na mkataba wa NPT
Oct 01, 2023 22:59Qatar imeutaka utawala ghasibu wa Israel ujiunge na mkataba wa kupiga marufuku uenezaji wa silaha za nyuklia duniani NPT.
-
Ijumaa ya umwagaji damu nchini Pakistan na umuhimu wa kukabiliana kieneo na ugaidi
Oct 01, 2023 08:24Saa chache baada ya kutokea mlipuko wa umwagaji damu katika maandamano ya Maulid ya Mtume (SAW) hao siku ya Ijumaa katika mkoa wa Baluchistan, mashambulizi mengine mawili yalitokea kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo, ambapo kwa ujumla zaidi ya watu 60 wamepoteza maisha
-
Umuhimu wa kupasishwa rasmi jina la Palestina katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki
Oct 01, 2023 04:37Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, (IAEA) katika kikao chake cha 67 cha kila mwaka huko Vienna, umepiga kura ya kuunga mkono azimio la kupasishwa rasmi jina la "Nchi ya Palestina"
-
Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia
Sep 30, 2023 23:07Makamu wa Rais katika Masuala ya Elimu na Teknolojia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Katika kivuli cha siasa za kistratijia za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hivi sasa Iran ya Kiislamu imebadilika na kuwa nchi mashuhuri kielimu na yenye wasomi wakubwa na mashirika muhimu ya kiteknolojia.
-
Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli
Sep 30, 2023 07:52Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.