-
Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
Sep 30, 2023 03:25Kupitia ujumbe, rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali satelaiti ya Iran Nour 3 kwa kutumia kombora la Qased la Iran ni thibitisho la msemo kwamba "sisi tunaweza" na wakati huo huo ni dhihirisho la kufeli vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi vijana wa Iran.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
Sep 29, 2023 04:47Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.
-
Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni
Sep 29, 2023 00:29Amir Saeid Iravani Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewaandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la UN na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu matamshi ya vitisho ya karibuni ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.
-
Al-Khalil, mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2026
Sep 28, 2023 05:55Katika mkutano wake huko Doha, mji mkuu wa Qatar, Baraza la Mawaziri wa Utamaduni wa Ulimwengu wa Kiislamu limeuchagua mji wa al-Khalil, ulioko Palestina, kuwa mji mkuu wa kiutamaduni wa Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2026.
-
Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani
Sep 28, 2023 04:23Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.
-
Upinzani wa serikali ya Sana'a dhidi ya kutawaliwa nchi hiyo.
Sep 27, 2023 23:32Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema katika hotuba yake mbele ya familia za mashahidi wa Yemen kuwa nchi hiyo haitakubali kuwa chini ya udhibiti wa nchi yoyote ya kigeni.
-
Kutumia vibaya nchi za Magharibi Mashirika ya Kimataifa kuishinikiza Iran
Sep 27, 2023 08:12Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kukosoa siasa za nchi za Magharibi amesema, nchi hizo zinatumia vibaya chombo hicho kama silaha ya kuishinikiza Iran.
-
Kujitoa kimasomaso Israel baada ya kukataliwa na Pakistan madai yake ya kuanzisha uhusiano wa kawaida
Sep 26, 2023 22:50Baada ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala wa Kizayuni kudai kuwa huenda nchi nyingi zaidi zikafanya mapatano na Israel, Jalil Abbas Jilani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan ametangaza kuwa, siasa za Islamabad kwa utawala huo hazijabadilika.
-
Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger
Sep 26, 2023 07:02Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.
-
Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi
Sep 26, 2023 04:00Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye blogu yake akisema: "Sheria zinazotawala dunia zinachakaa na nchi zinazoendelea za kusini mwa dunia zinatafuta mbadala wa Magharibi."