-
Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN
Nov 29, 2017 04:52Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.
-
Ushindi wa Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo nchini Algeria
Nov 25, 2017 10:49Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa cha Algeria kimeshinda katika kuchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo uliofanyika karibuni nchini humo.
-
Mahakama ya Kilele Kenya yaidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta
Nov 20, 2017 11:11Mahakama ya Kilele nchini Kenya imetupilia mbali kesi mbili zilizokuwa zimewasilishwa kupinga uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26 na hivyo kuidhinisha ushindi wa Uhuru Kenyatta.
-
Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa
Nov 14, 2017 03:53Mamia ya maelfu ya wananchi wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Somaliland nchini Somalia wamejitokeza katika uchaguzi wa kumchagua rais wa tano wa eneo hilo, ambao unashuhudia ushindani mkali kati ya serikali na kambi ya upinzani.
-
Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi
Nov 09, 2017 04:28Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na kutimuliwa ndani ya chama tawala Zanu-PF hivi karibuni amekimbilia uhamishoni akidai kuwa maisha yake yamo hatarini.
-
Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani
Nov 07, 2017 23:25Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, hatojiandikisha kwa jili ya kugombea tena ushaguzi wa rais ujao kwa muhula wa tatu.
-
Upinzani Kongo DR wapinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na CENI
Nov 06, 2017 23:14Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimepinga tarehe ya uchaguzi iliyopendekezwa na Tume ya Uchaguzi CENI hivi karibuni.
-
Mahakama ya Juu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais
Nov 06, 2017 10:16Kwa mara nyingine tena Mahakama ya Juu ya Liberia imesimamisha kwa muda usiojulikana kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyotazamiwa kufanyika kesho Jumanne.
-
Mahakama Kuu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais
Nov 02, 2017 04:06Mahakama ya Juu nchini Liberia imesimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyotazamiwa kufanyika mapema wiki ijayo, kutokana na madai ya uchakachuaji na dosari chungu nzima katika uchaguzi wa Oktoba 10.
-
'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'
Nov 01, 2017 12:47Shirika moja la haki za binadamu la Kenya limetoa ripoti na kusema kuwa, zaidi ya watu 36 wameshauliwa na polisi tangu tarehe 11 Agosti siku yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa rais nchini Kenya hadi hivi sasa.