Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar

    Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar

    Oct 19, 2019 02:10

    Msemaji wa Idara ya Siasa ya kundi la Talibal la Afghanistan amesema kuwa Marekani inakwamisha utekelezwaji wa makubaliano ya Qatar.

  • Miripuko ya mabomu yaua waumini wasiopungua 62 ndani ya msikiti nchini Afghanistan

    Miripuko ya mabomu yaua waumini wasiopungua 62 ndani ya msikiti nchini Afghanistan

    Oct 18, 2019 12:48

    Watu wasiopungua 62 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika miripuko kadhaa ya mabomu iliyotokea leo ndani ya msikiti katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.

  • Marekani na pigo la kihistoria katika vita visivyo na natija nchini Afghanistan

    Marekani na pigo la kihistoria katika vita visivyo na natija nchini Afghanistan

    Oct 08, 2019 08:30

    Baada ya kupita miaka 18 ya kuweko majeshi ya Marekani huko nchini Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na mtandao wa al-Qaeda na wanamgambo wa Taliban, vitendo vya utumiaji mabavu na kufurutu ada vingali vinahesabiwa kuwa tishio kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Indhari kuhusu kujiunga viongozi wa Taliban na kundi la Daesh huko Afghanistan

    Indhari kuhusu kujiunga viongozi wa Taliban na kundi la Daesh huko Afghanistan

    Oct 06, 2019 04:31

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Afghanistan ametahadharisha kuhusu kujiunga viongozi wa kundi la Taliban na kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Shambulizi la 'drone' ya Marekani laua wakulima 30 Afghanistan

    Shambulizi la 'drone' ya Marekani laua wakulima 30 Afghanistan

    Sep 19, 2019 21:56

    Ndege isiyo rubani ya Marekani imetekeleza shambulizi la anga na kuua makumi ya wakulima nchini Afghanistan.

  • Rais wa Afghanistan anusurika katika shambulizi la bomu la Taliban

    Rais wa Afghanistan anusurika katika shambulizi la bomu la Taliban

    Sep 17, 2019 22:11

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameponea chupuchupu katika shambulizi la bomu lililojiri karibu na mkutano wake wa kisiasa katika mji wa Charikar, makao makuu ya mkoa wa Parwan kaskazini mwa Kabul.

  • Zarif amwambia Trump, kaulimbiu ya Netanyahu ni: Tutapigana vita hadi askari wa mwisho wa Marekani

    Zarif amwambia Trump, kaulimbiu ya Netanyahu ni: Tutapigana vita hadi askari wa mwisho wa Marekani

    Sep 10, 2019 22:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemtumia ujumbe wa Twitter Rais Donald Trump wa Marekani akisema: Kaulimbiu ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ni: Tutapigana vita hadi atakapobakia askari wa mwisho kabisa wa Marekani.

  • Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Sep 09, 2019 01:33

    Katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani, Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliahidi kuwaondoa askari wote wa Marekani wanaohudumu Afghanistan.

  • Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Aug 31, 2019 02:08

    Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.

  • Taliban: Vita vya Afghanistan vilianza kwa uvamizi wa Marekani na vitamalizika kwa kuondoka tu nchini humo

    Taliban: Vita vya Afghanistan vilianza kwa uvamizi wa Marekani na vitamalizika kwa kuondoka tu nchini humo

    Aug 26, 2019 22:11

    Kundi la Taliban limesema, vita vya Afghanistan vitamalizika pale tu majeshi ya kigeni yakiongozwa na Marekani yatakapoondoka katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS