Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jul 25, 2021 22:09

    Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Jul 25, 2021 03:56

    Katika ripoti yao mpya, wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema kuwa bara la Afrika limekuwa muhanga mkuu wa ugaidi katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2021 kutokana na kuenea makundi ya kigaidi kama Daesh na al-Qaida na makund mengine yaliyo chini ya udhibiti na ushawishi wa makundi hayo mawili.

  • HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU

    HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU

    Jul 24, 2021 20:51

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa umoja huo.

  • Wanaharakati wapongeza hatua ya kihistoria ya Sierra Leone kukomesha hukumu ya kifo

    Wanaharakati wapongeza hatua ya kihistoria ya Sierra Leone kukomesha hukumu ya kifo

    Jul 24, 2021 07:26

    Wanaharakati wa haki za binadamu wamepongeza uamuzi wa "kihistoria" wa Bunge la Sierra Leone wa kupiga kura kwa kauli moja ya kukomesha adhabu ya kifo, zaidi ya miaka 20 baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kutekeleza hukumu ya mwisho ya kifo.

  • WHO: Vifo vya corona vyaongezeka kwa asilimia 40 barani Afrika

    WHO: Vifo vya corona vyaongezeka kwa asilimia 40 barani Afrika

    Jul 16, 2021 22:44

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa, kiwango cha vifo vinavyosababishwa na ugonjwa wa Covid-19 vimeongezeka kwa asilimia 40 barani Afrika ikilinganishwa na wiki iliyopita.

  • Wagonjwa wa corona barani Afrika wapindukia milioni 6, Afrika Kusini bado inaongoza

    Wagonjwa wa corona barani Afrika wapindukia milioni 6, Afrika Kusini bado inaongoza

    Jul 14, 2021 08:02

    Kesi zilizothibitishwa za maambukizi ya Covid-19 katika nchi 55 za Kiafrika hadi kufikia leo tarehe 14 Julai zimepindukia watu 6 na elfu 22.

  • Umoja wa Afrika watoa wito wa kurejeshwa amani na utulivu Afrika Kusini

    Umoja wa Afrika watoa wito wa kurejeshwa amani na utulivu Afrika Kusini

    Jul 14, 2021 05:16

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Moussa Faki Mahamat, amelaani kwa nguvu zote vurugu na machafuko makubwa yanayoendelea nchini Afrika Kusini baada ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma kufungwa jela miezi 15 kwa tuhuma za kuhusika na ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka yake.

  • Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Jul 11, 2021 03:52

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonana na wakuu wa nchi tano za eneo la Sahel ya Afrika ambazo ni Chad, Mali, Burkina Faso, Mauritania na Niger. Ingawa kikao hicho kimefanyika kwa njia ya Intaneti, lakini Rais Mohammad Bazoum wa Niger yeye ameshiriki kikao hicho akiwa ziarani nchini Ufaransa.

  • Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Jun 21, 2021 08:12

    Kundi la wasichana wahamiaji waliowekwa katika kituo kinachosimamiwa na serikali ya Libya wamewashutumu walinzi wa kituo hicho, kinachofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, kwamba wanawabaka na kuwanyanyasa kingono.

  • Waafrika milioni 146 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa yanayohusishwa na tumbaku

    Waafrika milioni 146 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa yanayohusishwa na tumbaku

    Jun 19, 2021 00:42

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa, watu wasiopungua milioni 146 wanafariki dunia kila mwaka kutokana na magonjwa yanayonasibishwa na matumizi ya tumbaku barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS