Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Afisa mmoja wa ubalozi wa Marekani ashambuliwa kwa risasi mjini Khartoum Sudan

    Afisa mmoja wa ubalozi wa Marekani ashambuliwa kwa risasi mjini Khartoum Sudan

    Apr 24, 2020 02:38

    Ubalozi wa Marekani nchini Sudan umetangaza kuwa, afisa mmoja wa ubalozi huo amesalimika kifo baada ya kushambuliwa kwa risasi mjini Kharotum.

  • Vifo vya corona vyaongezeka kwa asilimia 38 barani Afrika

    Vifo vya corona vyaongezeka kwa asilimia 38 barani Afrika

    Apr 23, 2020 22:15

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, vifo vinavyotokana na ugonjwa wa COVID-19 vimeongezeka kwa asilimia 38 barani Afrika.

  • SADC yasikitishwa na ongezeko la dhulma za kijinsia wakati huu wa Corona

    SADC yasikitishwa na ongezeko la dhulma za kijinsia wakati huu wa Corona

    Apr 23, 2020 10:19

    Jumuia ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa mwito wa kuwepo jitihada na ushirikiano wa pamoja wa kukabiliana na ongezeko la dhulma za kijinsia barani Afrika, wakati huu wa janga la Corona.

  • WHO yatahadharisha tena kuhusu maafa ya corona Afrika, Morocco yarefusha muda wa karantini

    WHO yatahadharisha tena kuhusu maafa ya corona Afrika, Morocco yarefusha muda wa karantini

    Apr 19, 2020 22:04

    Kwa mara nyingine tena Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu janga la corona barani Afrika na kusema kuwa, bara hilo linasubiri kushuhudia maafa makubwa ya COVID-19.

  • Maambukizi ya Corona Afrika; kuongezeka vifo na umaskini

    Maambukizi ya Corona Afrika; kuongezeka vifo na umaskini

    Apr 18, 2020 22:03

    Maambukizi ya maradhi ya corona barani Afrika yamezidisha wasiwasi kuhusu hali ya afya na matibabu na vile vile hali ya kiuchumi ya nchi mbalimbali za bara hilo. Katika uwanja huo, Kamisheni ya Kiuchumi ya Afrika yenye mfungamano na Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuaga dunia zaidi ya watu 300,000 kutokana na maambukizi ya corona katika bara hilo.

  • UNDP: Janga la corona linaweza kusambaratisha uchumi wa bara la Afrika

    UNDP: Janga la corona linaweza kusambaratisha uchumi wa bara la Afrika

    Apr 16, 2020 10:31

    Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) katika kanda ya Afrika ametahadharisha kuwa, kuenea kwa virusi vya corona barani Afrika kunaweza kusambaratisha uchumi wa nchi za bara hilo.

  • Waliopona Corona katika nchi za Afrika ni zaidi ya 3,000

    Waliopona Corona katika nchi za Afrika ni zaidi ya 3,000

    Apr 15, 2020 03:40

    Takwimu mpya za Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zinaonyesha kuwa, watu 3,235 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona katika nchi 52 za Afrika wamepata afueni.

  • Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Apr 14, 2020 08:05

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Umoja wa Afrika kimesema takriban watu 800 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona barani Afrika.

  • Waafrika 111 waishio Guangzhou, China wabainika kuambukizwa virusi vya corona

    Waafrika 111 waishio Guangzhou, China wabainika kuambukizwa virusi vya corona

    Apr 14, 2020 03:35

    Jumla ya raia 111 wa nchi za Kiafrika wanaoishi katika mji wa Guangzhou ulioko kusini mwa China wamebainika kuwa wameambukizwa ugonjwa wa COVID-19. Hayo ni kwa mujibu wa shirika la habari la China, Xinhua.

  • China yakemea ubaguzi wa rangi dhidi ya Waafrika waishio nchini humo kwa kisingizio cha corona

    China yakemea ubaguzi wa rangi dhidi ya Waafrika waishio nchini humo kwa kisingizio cha corona

    Apr 10, 2020 09:17

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imekemea vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi dhidi ya Waafrika wanaoishi katika jimbo la Guangdong kusini mwa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, serikali ya Beijing itaendelea kuhakikisha raia wote wa kigeni wanapatiwa haki sawa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS